Plot4Sale Kiwanja sqm 535, kina hati

Plot4Sale Kiwanja sqm 535, kina hati

KLE

Member
Joined
Mar 28, 2013
Posts
35
Reaction score
15
Eneo hili liko Pangani - Kibaha Mji, jirani na ofisi za Mitamba, umbali wa kilomita 2.5 kutoka kituo cha mabasi cha Kibaha na Kibaha Shopping Mall, au kilomita 1 kutoka mnada maarufu wa mbuzi wa Jumamosi (Loliondo). Linapatikana kupitia barabara ya Tamco-Mapinga, ambayo ipo katika ujenzi wa kiwango cha lami, ikianzia shule ya Baobab hadi kituo cha mabasi cha Kibaha, njoo ulipie bei ileile ya serikali....6.5m. Unaweza lipia kwa awamu (Shikamoo Matatizo)
 
Eneo hili liko Pangani - Kibaha Mji, jirani na ofisi za Mitamba, umbali wa kilomita 2.5 kutoka kituo cha mabasi cha Kibaha na Kibaha Shopping Mall, au kilomita 1 kutoka mnada maarufu wa mbuzi wa Jumamosi (Loliondo). Linapatikana kupitia barabara ya Tamco-Mapinga, ambayo ipo katika ujenzi wa kiwango cha lami, ikianzia shule ya Baobab hadi kituo cha mabasi cha Kibaha, njoo ulipie bei ileile ya serikali....6.5m. Unaweza lipia kwa awamu (Shikamoo Matatizo)
Hivi kibaha kuna shopping mall? Ama kweli!
 
Ile barabara inakuja kuwa kama ilvyo Goba, so kama muwekezaji una pesa fanya maamuzi.... pesa haipoteagi kwenye ardhi hasa maeneo kama haya
 
Eneo hili liko Pangani - Kibaha Mji, jirani na ofisi za Mitamba, umbali wa kilomita 2.5 kutoka kituo cha mabasi cha Kibaha na Kibaha Shopping Mall, au kilomita 1 kutoka mnada maarufu wa mbuzi wa Jumamosi (Loliondo). Linapatikana kupitia barabara ya Tamco-Mapinga, ambayo ipo katika ujenzi wa kiwango cha lami, ikianzia shule ya Baobab hadi kituo cha mabasi cha Kibaha, njoo ulipie bei ileile ya serikali....6.5m. Unaweza lipia kwa awamu (Shikamoo Matatizo)
Kula m5 mzeya
 
Je HATI uko nayo mkononi?Ya WIZARANI?
Asante
KAZI ni kipimo cha utu
 
Picha
MCHORO.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom