ntakisigae
Senior Member
- Nov 26, 2013
- 177
- 58
Eneo liko Kimbiji-Kwa Moris, Kigamboni.Ukubwa wake ni mita20 kwa22. Eneo lipo karibu na barabara kuu na njia panda kwenda ufukweni (beach)
Bahari ya Hindi.
Panafaa sana kibiashara,hasa kujenga duka,hoteli,kufyatulia matofali,mashine ya kusaga na kukoboa, kuoteshea miche ya miti na maua nk.Umeme upo jirani,umbali wa nguzo moja na panafika kirahisi.
Eneo liko karibu na kiwanda cha Saruji (sementi) cha Lake Cement na panachangamka sana kwa ujenzi mbalimbali.
Bei ni milioni6. Maelewano yapo, dalali hatakiwi.
Mawasiliano:0685381338
Bahari ya Hindi.
Panafaa sana kibiashara,hasa kujenga duka,hoteli,kufyatulia matofali,mashine ya kusaga na kukoboa, kuoteshea miche ya miti na maua nk.Umeme upo jirani,umbali wa nguzo moja na panafika kirahisi.
Eneo liko karibu na kiwanda cha Saruji (sementi) cha Lake Cement na panachangamka sana kwa ujenzi mbalimbali.
Bei ni milioni6. Maelewano yapo, dalali hatakiwi.
Mawasiliano:0685381338