gozo
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 458
- 85
Habari wana JF..kuna kiwanja kinauzwa 1.5 Mil kina ukubwa wa 20*25 kimepimwa na kina hati zote,kipo sehemu nzur na kinafikika kwa urahisi,kipo maeneo ya mpiji magohe dar es salaam,ukifika mbezi ya kimara unapanda magari yanaendayo huko mpiji magohe
kwa mawasiliano piga 0657 174 970
kwa mawasiliano piga 0657 174 970