Kiwanja kinauzwa-tabata kinyerezi dsm

Kiwanja kinauzwa-tabata kinyerezi dsm

solon

Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
12
Reaction score
1
Kiwanja chenye ukubwa wa mita 30 kwa mita 30 kinapatikana maeneo ya kinyereai tabata

mawasiliano zaidi;0783422874
 
bei yake ni Tshs. 22 million

Duuuuh, hebu kielezee sifa zake za ziada mpaka tuone kina stahili hizo 22ml. maana kama kingekuwa kikubwa sana tungesema kweli lakini kiwanja tu 22ml?
 
Ndiyo mkuu kama unahitaji njoo ukione kipo vizuri
 
kuna ofa ya kujengewa bure nn?? Hebu tujuzane mkuu??
 
kiwanja tayari kina msingi wa nyumba kubwa pamoja na matofali ya kuendeleza ujenzi.

Yaani msingi wa nyumba uko tayari
 
kina msingi wa nyumba kubwa umeshajengwa
pamoja na matofali ya kuandeleza ujenzi
 
Kiwanja chenye ukubwa wa mita 30 kwa mita 30 kinapatikana maeneo ya kinyereai tabata

mawasiliano zaidi;0783422874

nina kiwanja hapo kinyerezi mkuu karibu na kanisa la roma pale juu karibu na shule ya msingi,nachojua walituzuia kuendelea na ujenzi mwaka juzi mpaka vipimwe,sasa hicho kiwanja kilishapimwa?kina hati?
 
Milioni 22 ni uwanja tu ama chini ya ardhi yake kuna madini muuzaji sema hana zana za kuyachimbia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom