westandtogether
Senior Member
- Jul 8, 2020
- 175
- 257
KaribuNinauza kiwanja kilichopimwa chenye ukubwa wa 540 SQM kilichopo MWASONGA, KIGAMBONI kipo barabara kuu ukitokea Mwasonga stendi.
📍Mahali pazuri kwa makazi au uwekezaji- miundombinu ipo karibu.
Bei 7,000,000/= ( milioni saba tu) - maelewano yapo kwa mwenye nia ya dhati.
Kwa mawasiliano zaidi au kutembelea eneo: 0621 363330 📞
KaribuNice
Picha Iko wapi? Je kina hati?Ninauza kiwanja kilichopimwa chenye ukubwa wa 540 SQM kilichopo MWASONGA, KIGAMBONI kipo barabara kuu ukitokea Mwasonga stendi.
📍Mahali pazuri kwa makazi au uwekezaji- miundombinu ipo karibu.
Bei 7,000,000/= ( milioni saba tu) - maelewano yapo kwa mwenye nia ya dhati.
Kwa mawasiliano zaidi au kutembelea eneo: 0621 363330 📞
Karibu
Mkuu naona umekuja kwa ID, nyingineWakuu hiki kiwanja mwenye hela amunue mana bei ya kule imeanza kuongezeka kwa zaidi ya 30%
Hati miliki ya wizarani?Ninauza kiwanja kilichopimwa chenye ukubwa wa 540 SQM kilichopo MWASONGA, KIGAMBONI kipo barabara kuu ukitokea Mwasonga stendi.
📍Mahali pazuri kwa makazi au uwekezaji- miundombinu ipo karibu.
Bei 6,500,000/= ( milioni saba tu) - maelewano yapo kwa mwenye nia ya dhati.
Kwa mawasiliano zaidi au kutembelea eneo: 0621 363330 📞
Hapan mkuu mm sio huy jamaa na sijui kama anauza tena. Mana prospectus ya kule imeanza kubadilika kipind hiki cha karibunMkuu naona umekuja kwa ID, nyingine