kawakama
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,299
- 391
wamajamvi karibuni nina kiwanja nakiuza kipo mtwara mjini, ni kikubwa(low density ya square meter 1500)
kimepimwa hati bado haijatoka ndio naishughulikia muda wowote itatoka
kwa wale waliowahi kufika mtwara kipo katika mji mpya wa Mitengo ni km 5 tu kutoka katikati ya mji
kipo eneo la juu ambalo ni tambalale ambapo mji wote wa mtwara unauona na pia upepo wa baharini(sea breeze) pia unapatikana ukiwa ktk kiwanja hicho kwani maeneo kilipo ni jiran sana na bahari kama km 3 hivi
serous buyers ni PM tufanye biashara
kimepimwa hati bado haijatoka ndio naishughulikia muda wowote itatoka
kwa wale waliowahi kufika mtwara kipo katika mji mpya wa Mitengo ni km 5 tu kutoka katikati ya mji
kipo eneo la juu ambalo ni tambalale ambapo mji wote wa mtwara unauona na pia upepo wa baharini(sea breeze) pia unapatikana ukiwa ktk kiwanja hicho kwani maeneo kilipo ni jiran sana na bahari kama km 3 hivi
serous buyers ni PM tufanye biashara