Kiwanja kinauzwa- Mafinga

Kiwanja kinauzwa- Mafinga

MansaMusa

Senior Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
103
Reaction score
13
Kiwanja kinauzwa bei naafuu kabisa.

Kipo Mafinga mjini -Pipeline -Majengo mapya.

Kina ukubwa wa nusu hekari 31 * 62 meters = 1922 sq meters.

Kimepimwa na kina hati miliki.
Pia kina msingi wa mawe ijapokuwa umejengwa zamani.
Huduma ya maji na umeme ipo nguzo karibu na kiwanja, na pia kimepakana na barabara ya mtaa.

Bei ni Tsh 23 Milioni, mazungumzo yapo.

Anayetaka ancheki kwa 0687 022411
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom