yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,917
- 4,169
SawaHaya nicheki pm tudiscuss mkuu
Naomba namba tuongeeWakuu Kiwanja kinauzwa.
Kipo Kibamba Shule kituo kinaitwa Bwawani kama unaelekea Kibwegele.
Ukitembea kwa mguu ni mwendo wa dakika 3 hadi 4 kutoka barabara kubwa.
Ukubwa ni 20 × 20.
Bei ni 5.5M. Haipungui hata mia.
Kiwanja ni cha kwangu mwenyewe, mi sio dalal.
Kama unahitaji, coment hapa nikutafute.
Japo pichaKiwanja kingine kinauzwa Bei milioni nne ,Kipo pugu ni robo ekeki ,Hiki ni Cha rafiki yangu
Kingine kunduchi Bei milioni 30
Ukubwa 20 Kwa 22 MITA hiki ni Mali yangu mwenyewe hakuna dalali.
0755570231 nibipu ,Japo picha
Kibaha kwa mfipa(upande wa chuo)Japo picha