Kiwanja Kinauzwa Kibaha kwa Mfipa million 3.2

Kiwanja Kinauzwa Kibaha kwa Mfipa million 3.2

Ghost.js

Senior Member
Joined
Jul 1, 2015
Posts
188
Reaction score
347
Kiwanja kinauzwa Kibaha kwa Mfipa(upande wa chuo)
Ukubwa ni mita 20×20(sqm 400)
Bei million 3.2
Hicho pembeni ya hiyo nyumba
Kilomita 2.5 toka stendi
Huduma zote zipo
Umeme na maji ni kuvuta tu
Kimebaki kimoja tu
0744757738
0784376888

IMG-20250423-WA0004.jpg
IMG-20250423-WA0003.jpg
 
Swali lako lipo wapi
Kina haki miliki gani mzee?

kabla hujajihusisha na uuzaji wa viwanja moja ya vipengele vya kuzingatia ni pamoja na kufahamu aina za haki miliki za kiwanja.

Kuna hizi haki miliki:
💥hati title deed.
💥Ofa barua ya ofa.
💥Leseni ya makazi.
💥mkataba wa mauziano tk serikali za mitaa
💥 hati za kimila hii ni kurithishwa zaidi.

Haya maswali huulizwa na wateja walio serious, sio kwamba tunatema ushubwada,
Ni vema kujifunza na kuongeza kitu katika kazi zako.
 
H
Kina haki miliki gani mzee?

kabla hujajihusisha na uuzaji wa viwanja moja ya vipengele vya kuzingatia ni pamoja na kufahamu aina za haki miliki za kiwanja.

Kuna hizi haki miliki:
💥hati title deed.
💥Ofa barua ya ofa.
💥Leseni ya makazi.
💥mkataba wa mauziano tk serikali za mitaa
💥 hati za kimila hii ni kurithishwa zaidi.

Haya maswali huulizwa na wateja walio serious, sio kwamba tunatema ushubwada,
Ni vema kujifunza na kuongeza kitu katika kazi zako.
Hata mimi nimejifunza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom