King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,564
- 94,301
25m kwa 35m kwa kibada hauwezi pata kwa bei hyo labda hio miguu iwe sawa na feet na si kwa kipimo cha hatua kama meter.
uko sahihi . lakini hili eneo ni mashamba ya minazi ni hili eneo lipo na linauzwa hiyo bei njoo twende tukaone ukirizika ripa mkuu25m kwa 35m kwa kibada hauwezi pata kwa bei hyo labda hio miguu iwe sawa na feet na si kwa kipimo cha hatua kama meter.
kilometer mkuu , njoo ulipie ka plot haka , haka kaeneo ni kazuri sana upepo kibao minazi kwa kwenda mbele
nakumbuka mama usikonde tuko pamojakaka tumeishaongea kwa simu naomba uniombee nitakuja jumapili inayokuja mungu akitujalia uhai
asante
mimi mama