PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,104
- 1,924
Wadau,kwa yeyote anayetaka kujenga Simiyu,nina kiwanja kule,nimeamua nikiuze,kina ukubwa wa 37M kwa 17M kipo Busega,kijiji cha mwamagigisi,ukiweza,nipe laki 4 tu,mawasiliano,njoo PM
Jamanii, mwenye kuitaji anistue, tutaelewana tu, usiogope bei, kipo maeneo mazuri,umeme upo kwenye hicho kijiji, na kuna chuo cha afya cha private.
===
mods,msaada wa title,ni Wilaya ya Busega
Jamanii, mwenye kuitaji anistue, tutaelewana tu, usiogope bei, kipo maeneo mazuri,umeme upo kwenye hicho kijiji, na kuna chuo cha afya cha private.
===
mods,msaada wa title,ni Wilaya ya Busega