S SIMPLE X Member Joined Sep 7, 2012 Posts 25 Reaction score 1 Sep 15, 2012 #1 Ni voucher ya kiwanja gezaulole, voucher ni ya mil. 8 lakn inauzwa mil. 15
Kamanda Moshi JF-Expert Member Joined Apr 1, 2012 Posts 1,997 Reaction score 3,038 Sep 15, 2012 #2 Sijakuelewa mkuu,hebu nipe ukubwa wa hicho kiwanja na bei yake!maana sielew unaposema Voucher unamaanisha nini.
Sijakuelewa mkuu,hebu nipe ukubwa wa hicho kiwanja na bei yake!maana sielew unaposema Voucher unamaanisha nini.
mathematics JF-Expert Member Joined Feb 21, 2012 Posts 3,324 Reaction score 1,116 Sep 18, 2012 #3 wewe unayejiita unayejiita jerryz, umezidi sasa kila post unaweka hiyo website yako, sasa ni kama yaani unapiga kelele!!! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
wewe unayejiita unayejiita jerryz, umezidi sasa kila post unaweka hiyo website yako, sasa ni kama yaani unapiga kelele!!!
KANCHI JF-Expert Member Joined Sep 3, 2011 Posts 1,532 Reaction score 230 Sep 18, 2012 #4 SIMPLE X said: Ni voucher ya kiwanja gezaulole, voucher ni ya mil. 8 lakn inauzwa mil. 15 Click to expand... Huu U.S.E.N.G.E kwel yaani wa2 wanafanya biashara we ulichukua vocha ya nini bana?
SIMPLE X said: Ni voucher ya kiwanja gezaulole, voucher ni ya mil. 8 lakn inauzwa mil. 15 Click to expand... Huu U.S.E.N.G.E kwel yaani wa2 wanafanya biashara we ulichukua vocha ya nini bana?
Z ZeMarcopolo Platinum Member Joined May 11, 2008 Posts 14,279 Reaction score 7,685 Sep 19, 2012 #5 Hivi viwanja si walisema vimegawiwa kwa watu wenye uwezo wa kujenga? Ukifuatilia utakuta huyu mtu wa ardhi kapenyeza jina lake ili awaibie watanzania wenzake!!!
Hivi viwanja si walisema vimegawiwa kwa watu wenye uwezo wa kujenga? Ukifuatilia utakuta huyu mtu wa ardhi kapenyeza jina lake ili awaibie watanzania wenzake!!!