Kiwanja kinauzwa 6.5m

Kiwanja kinauzwa 6.5m

Achana na huo ujinga wa kusomesha watoto shule ambazo huzimudu. Wema usizidi uwezo.
Kama mambo sio poa, wahamishie watoto kwenye shule za gharama nafuu na hata ikiwezekana shule za serikali. Usipo angalia utauza kila ulicho nacho kisa watoto ambao hata wanaweza wasije kuwa na manufaa na wewe kwenye uzee wako.
Usisikilize sana mke. Wanawake huwa wana pressure na kutamani vitu vilivyo nje ya uwezo. Ukifanya hivyo, utazeeka kabla ya umri wako na huyo mwanamke atakukimbia na kwenda kuburudishwa na dogo dogo.
Achana kabisa na hivyo vitu. Ishi ndani ya uwezo.
Point
 
Samahani mkuu izo 6.5m zitatosha hadi watakapomaliza elimu yao. Usije ingia mkenge ukalipa muhula huu halafu Januari ikawa kimbembe.
 
Achana na huo ujinga wa kusomesha watoto shule ambazo huzimudu. Wema usizidi uwezo.
Kama mambo sio poa, wahamishie watoto kwenye shule za gharama nafuu na hata ikiwezekana shule za serikali. Usipo angalia utauza kila ulicho nacho kisa watoto ambao hata wanaweza wasije kuwa na manufaa na wewe kwenye uzee wako.
Usisikilize sana mke. Wanawake huwa wana pressure na kutamani vitu vilivyo nje ya uwezo. Ukifanya hivyo, utazeeka kabla ya umri wako na huyo mwanamke atakukimbia na kwenda kuburudishwa na dogo dogo.
Achana kabisa na hivyo vitu. Ishi ndani ya uwezo.
mtoa mada fuata huu ushauri otherwise utauza mpk Ngozi yako
 
Fafanua mkuu
Kuna kipindi nilikuwa nanunua viwanja (enzi za Mkapa na JK) sasa kuna kipindi baba yangu alipata matatizo na kutakiwa kupelekwa India, kila niliyemfuata kunisaidia hata mkopo alikuwa ananipa sababu lukuki. Mwisho wa siku niliuza eneo moja tu kati ya mengi niliyonayo na mzee akaenda kutibiwa na mpk leo yuko salama ugonjwa ulipona kabisa ingawa alikuwa ktk hali mbaya sana. Ndipo huo msemo wa kimfaacho mtu chake ulipochukua maana kubwa sana kwangu
 
Kuna kipindi nilikuwa nanunua viwanja (enzi za Mkapa na JK) sasa kuna kipindi baba yangu alipata matatizo na kutakiwa kupelekwa India, kila niliyemfuata kunisaidia hata mkopo alikuwa ananipa sababu lukuki. Mwisho wa siku niliuza eneo moja tu kati ya mengi niliyonayo na mzee akaenda kutibiwa na mpk leo yuko salama ugonjwa ulipona kabisa ingawa alikuwa ktk hali mbaya sana. Ndipo huo msemo wa kimfaacho mtu chake ulipochukua maana kubwa sana kwangu
Tupo pamoja mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom