golden pride
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 847
- 435
- Thread starter
- #21
Karibuni wadau
Achana na huo ujinga wa kusomesha watoto shule ambazo huzimudu. Wema usizidi uwezo.
Kama mambo sio poa, wahamishie watoto kwenye shule za gharama nafuu na hata ikiwezekana shule za serikali. Usipo angalia utauza kila ulicho nacho kisa watoto ambao hata wanaweza wasije kuwa na manufaa na wewe kwenye uzee wako.
Usisikilize sana mke. Wanawake huwa wana pressure na kutamani vitu vilivyo nje ya uwezo. Ukifanya hivyo, utazeeka kabla ya umri wako na huyo mwanamke atakukimbia na kwenda kuburudishwa na dogo dogo.
Achana kabisa na hivyo vitu. Ishi ndani ya uwezo.
Simu inasumbua, mara ukiweka inakata, vipimo ni 20/20m. Uwanja Una hati ya serikali ya mtaa
Jiko lipo, nimesahau Tu kuweka kwenye maelezo. Nakupa na ramani yakeJilo litakushusha sana bei. Nyumba bila jiko mzee...
Asante kwa ofa yakoChukua mil 2
Hili sasa si jiwe la gizani tena.Achana na huo ujinga wa kusomesha watoto shule ambazo huzimudu. Wema usizidi uwezo.
Kama mambo sio poa, wahamishie watoto kwenye shule za gharama nafuu na hata ikiwezekana shule za serikali. Usipo angalia utauza kila ulicho nacho kisa watoto ambao hata wanaweza wasije kuwa na manufaa na wewe kwenye uzee wako.
Usisikilize sana mke. Wanawake huwa wana pressure na kutamani vitu vilivyo nje ya uwezo. Ukifanya hivyo, utazeeka kabla ya umri wako na huyo mwanamke atakukimbia na kwenda kuburudishwa na dogo dogo.
Achana kabisa na hivyo vitu. Ishi ndani ya uwezo.
Vp pindi unajenga huo msingi hakufanya mambo ya kimila badae ukatuachia msala watu mkuukaribuni,mazungumzo yapo,usiogope
piga 0716411720
Duh, mambo ya kimila ya nini ndugu yangu. Siamini hayo mambo.Vp pindi unajenga huo msingi hakufanya mambo ya kimila badae ukatuachia msala watu mkuu
Tatu chukua mzeeeekaribuni,mazungumzo yapo,usiogope
piga 0716411720