Kiwanja kinauzwa 6.5m

Kiwanja kinauzwa 6.5m

golden pride

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
847
Reaction score
435
Wakuu habari za muda.

Nauza Kiwanja changu, Ada ya watoto kwenda kumalizia muhula imeanza tena kusumbua

Sifa za Kiwanja
-Kipo Chanika, Zogo Ali
-Kumejengeka
-Msingi imara WA nondo 12mm, NNE kila upande
-Vyumba 3, kimoja master, sebule, dinning, public toilet
-Jiko
-Tofali 200
Simu 0716411720
IMG-20180107-WA0000.jpg
 
Mzee wa Usafiukizeeka 26545041 said:
Mzee weka vipimo vya kiwanja basi. kina hati au offer?
Simu inasumbua, mara ukiweka inakata, vipimo ni 20/20m. Uwanja Una hati ya serikali ya mtaa
 
[QUOIPO "Amadoli, post: 26560026, member: 174068"]Weka bei[/QUOTE]
Bei ipo kwenye thread, ni 6.5m
 
Nauza Kiwanja changu, Ada ya watoto kwenda kumalizia muhula imeanza tena kusumbua
Achana na huo ujinga wa kusomesha watoto shule ambazo huzimudu. Wema usizidi uwezo.
Kama mambo sio poa, wahamishie watoto kwenye shule za gharama nafuu na hata ikiwezekana shule za serikali. Usipo angalia utauza kila ulicho nacho kisa watoto ambao hata wanaweza wasije kuwa na manufaa na wewe kwenye uzee wako.
Usisikilize sana mke. Wanawake huwa wana pressure na kutamani vitu vilivyo nje ya uwezo. Ukifanya hivyo, utazeeka kabla ya umri wako na huyo mwanamke atakukimbia na kwenda kuburudishwa na dogo dogo.
Achana kabisa na hivyo vitu. Ishi ndani ya uwezo.
 
Achana na huo ujinga wa kusomesha watoto shule ambazo huzimudu. Wema usizidi uwezo.
Kama mambo sio poa, wahamishie watoto kwenye shule za gharama nafuu na hata ikiwezekana shule za serikali. Usipo angalia utauza kila ulicho nacho kisa watoto ambao hata wanaweza wasije kuwa na manufaa na wewe kwenye uzee wako.
Usisikilize sana mke. Wanawake huwa wana pressure na kutamani vitu vilivyo nje ya uwezo. Ukifanya hivyo, utazeeka kabla ya umri wako na huyo mwanamke atakukimbia na kwenda kuburudishwa na dogo dogo.
Achana kabisa na hivyo vitu. Ishi ndani ya uwezo.
Hii inaitwa ngumu kumesa.
 
Achana na huo ujinga wa kusomesha watoto shule ambazo huzimudu. Wema usizidi uwezo.
Kama mambo sio poa, wahamishie watoto kwenye shule za gharama nafuu na hata ikiwezekana shule za serikali. Usipo angalia utauza kila ulicho nacho kisa watoto ambao hata wanaweza wasije kuwa na manufaa na wewe kwenye uzee wako.
Usisikilize sana mke. Wanawake huwa wana pressure na kutamani vitu vilivyo nje ya uwezo. Ukifanya hivyo, utazeeka kabla ya umri wako na huyo mwanamke atakukimbia na kwenda kuburudishwa na dogo dogo.
Achana kabisa na hivyo vitu. Ishi ndani ya uwezo.
Mkuu nimekuelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom