Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,611
- 21,137
Kuna dalali yeyote wa viwanja humu aliyepo Dodoma? Nina shida ya viwanja. Tuwasiliane PM
Nitakuwekea viwanja vingapi, ujui mteja anakupa category yaanachostahiri yeye na mimi nimpa.
Umekwishapata kiwanja/viwanja mkuu?Kuna dalali yeyote wa viwanja humu aliyepo Dodoma? Nina shida ya viwanja. Tuwasiliane PM
kime pimwa?Kiwanja kipo Mpamaa 10 Km toka city centre kina ukubwa wa 65/35mtr.
Bei ni 8.5M tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina 3.4M kiongozi...
una weza share na Mimi survey plan yake (kiwanja, kina hati?)
Nina 3.4M kiongozi...
una weza nisaidia coordinate nijilidhishe kina angukia wapi? ktk hiyo mipango miji...Hapana mkuu,mbali na kuwa hakina thamani hiyo lakini pia ni kikubwa na eneo kilipo ni zuri kwa kadri ya ramani ya mpango mji wa manispaa ya jiji.
Ndani ya kiwanja kimoja hiki unaweza toa viwanja vingine 3 vikubwa vyenye ukubwa wa (35×22mtr).
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo kwenye hatua za mwisho kabisa kupata hati baada tu ya kutolewa ofa na hii ni baada ya zoezi la upimaji kumalizika,una weza share na Mimi survey plan yake (kiwanja, kina hati?)
mkuu so una deed plan? kuna naomba picha ya site yako niione au namba za bicornNipo kwenye hatua za mwisho kabisa kupata hati baada tu ya kutolewa ofa na hii ni baada ya zoezi la upimaji kumalizika,
.
.
Kiwanja kipo kwenye eneo la makazi na biashara,kipo jirani na uwanja wa ndege wa kimataifa wa Msalato(ujenzi unaendelea),
Kiwanja kina barabara mbili kubwa za kwenda na kutoka uwanja wa ndege na nyingine ya kuelekea mji wa makazi ya wafanyakazi wa serikali Mpamaa.
Lakini pia kipo karibu na huduma zote za kijamii kama shule,vyuo,hospitali na nyumba za ibada
Sent using Jamii Forums mobile app
una weza nisaidia coordinate nijilidhishe kina angukia wapi? ktk hiyo mipango miji...
usinichoke kiongozi...
Nakutumiamkuu so una deed plan? kuna naomba picha ya site yako niione au namba za bicorn
Kama utahitaji picha zaidi nitakutumia whatsApp ikiwa ni pamoja na bircon no.mkuu so una deed plan? kuna naomba picha ya site yako niione au namba za bicorn