El nino jr
Member
- Aug 7, 2014
- 66
- 24
Habari za mchana natafuta kiwanja maeneo ya chanika au viwege.bajet 1.2
Huo ukubwa ni futi au mita,maana viwanja vya huko hamchelewi kusema ni futiKaribu
Kipo kivule karibu na hospital mpya ya Amana.
Ukubwa 16*20
Bei: 1.5m
Nimeku pm mkuuKaribu
Kipo kivule karibu na hospital mpya ya Amana.
Ukubwa 16m kwa 20m
Bei: 1.5m
Kibaha sehemu gani mkuuUkiitaji kibaha kipo,milioni moja na nusu.meter 20 kwa 20
Kwa Mathias mkuuKibaha sehemu gani mkuu
Nimeku pmKwa Mathias mkuu
Kibaha ipi?Ukiitaji kibaha kipo,milioni moja na nusu.meter 20 kwa 20
Kwa mathiasKibaha ipi?
soma tangazo lake vizuri,una macho au matoboKipo kobaha kwa mfipa, bei milioni 4. Ukubwa wa kiwanja ni 40-20