Wakuu natumai mu wazima.
Nahitaji kiwanja chenye hati miliki kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha mafuta( petrol station) jijin dar es salaam. Mwenye eneo hilo tafadhali naomba nipm kwa mawasiliano zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji kiwanja chenye hati miliki kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha mafuta( petrol station) jijin dar es salaam. Mwenye eneo hilo tafadhali naomba nipm kwa mawasiliano zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app