mzuriwatabia
Member
- Jul 9, 2014
- 27
- 2
Kiwanja kipo barabarani bagamoyo karibu na KIROMO HOTEL.. kina ukubwa wa 20*20 (hatua) umeme na maji vipo karibu na gari inafika mpaka kiwanjani...watu wamejenga (uzunguni)..nyumba ya vyumba vitatu inasimama bila wasiwasi...ni pm au comment hapa for more details.