Ni kwamba unauza ndogo mnanunua kubwa zaidi mkuuSasa ulimaanisha nini kusema unauza kiwanda???
***Tafuteni Mteja Labda Congo Tanzania Wanapiga Marufuku Plastics
nichek whtsaap 0679365635Malengo Ni kununua Mashine kubwa zaidi.biashara Ni kuexpand
Daah!Mungu mkubwa yaani kitu ambacho wewe unatamani ukipate ufanye project ya millions of Tshs kwa idea ambayo tofauti kwa kutumia mashine fulani,lakini mwenzako anayo hiyo mashine ila idea yako hana na anaamua kuiza.
Ni ushahidi tosha kwamba tuna tofauti katika IQ
Msome hapoNi mambo ya biashara tu Amina kuna Mashine nyingine nataka kuzichukua kubwa za hizo ndio maana nimeona niuze hio ili niongeze hatua kubwa zaidi
Daah!Mungu mkubwa yaani kitu ambacho wewe unatamani ukipate ufanye project ya millions of Tshs kwa idea ambayo tofauti kwa kutumia mashine fulani,lakini mwenzako anayo hiyo mashine ila idea yako hana na anaamua kuiza.
Ni ushahidi tosha kwamba tuna tofauti katika IQ
Unauza mitambo au pamoja na eneo (title) zilimo kiwanda? Unauza kama asset au kampuni endelevu?Kiwanda sio tu hicho mkuu ninavyo vingi tuu ila hicho nilikua natafuta mnunuzi ili nilete kikubwa zaidi
Nauza Mashine zote mkuu pamoja Na material tani mbili za kuanzia eneo haliuzwiUnauza mitambo au pamoja na eneo (title) zilimo kiwanda? Unauza kama asset au kampuni endelevu?
Nitafute kupitia 0675226757 tuongee zaidi mkuukingekua dar tungeongea mkuu lakn kwa tanga.. sina plan ya huko
Sasa mbona unasema Kiwanda kinauzwa?Hapo Ni Mashine tu ndio zinauzwa mkuu sio jengo Na Mashine
Weee acha tuu kutiana stressDaah!Mungu mkubwa yaani kitu ambacho wewe unatamani ukipate ufanye project ya millions of Tshs kwa idea ambayo tofauti kwa kutumia mashine fulani,lakini mwenzako anayo hiyo mashine ila idea yako hana na anaamua kuiza.
Ni ushahidi tosha kwamba tuna tofauti katika IQ
😃😃😃😃Vyuma vilianza kukaza mapema kumbe