Ni mambo ya biashara tu Amina kuna Mashine nyingine nataka kuzichukua kubwa za hizo ndio maana nimeona niuze hio ili niongeze hatua kubwa zaidikwanini unauza mkuu
Mkuu fanya kumtafuta mhusika mkubaliane kwa mkataba mpige kaziDaah!Mungu mkubwa yaani kitu ambacho wewe unatamani ukipate ufanye project ya millions of Tshs kwa idea ambayo tofauti kwa kutumia mashine fulani,lakini mwenzako anayo hiyo mashine ila idea yako hana na anaamua kuiza.
Ni ushahidi tosha kwamba tuna tofauti katika IQ
Hicho Ni kiwanda mkuuJamani hichi ni kiwanda au mashine
Haya asante mkuuHicho Ni kiwanda mkuu
Sawa mkuu!Ndugu yangu kuna kitu kikubwa ntakifanya mungu akinijaalia uhai ambacho kitaniwezesha kua na maisha mazuri sana na kuna watu wengi sana watapata ajira kupitia ubongo wanguMkuu fanya kumtafuta mhusika mkubaliane kwa mkataba mpige kazi
Ni kiwanda cha Mifuko kinachoweza kutoa sheet,nylon plastic bag pia kinatoa rollers za miche(orders za kupandia miche) kwa bei poa kabisa ya sh m70 kiwanda kipo Tanga,pia kiwanda hiki kimeambatana Na Mashine zifuatazo.Extuder,bag making,recycle Machine,crasher,cutter machine,drying machine. Zote zimondani ya hio bei.unaweza kuwasiliana nami kupitia no.0675226757
Kiwanda sio tu hicho mkuu ninavyo vingi tuu ila hicho nilikua natafuta mnunuzi ili nilete kikubwa zaidiungemshirikisha na mheshimiwa rais, kama kweli angekuruhusu kuuza kiwanda
Tafuteni Mteja Labda Congo Tanzania Wanapiga Marufuku PlasticsNi kiwanda cha Mifuko kinachoweza kutoa sheet,nylon plastic bag pia kinatoa rollers za miche(orders za kupandia miche) kwa bei poa kabisa ya sh m70 kiwanda kipo Tanga,pia kiwanda hiki kimeambatana Na Mashine zifuatazo.Extuder,bag making,recycle Machine,crasher,cutter machine,drying machine. Zote zimondani ya hio bei.unaweza kuwasiliana nami kupitia no.0675226757
Huwezi kudaiwa na TRA Na usifungiwe kiwanda kipindi hiki mkuuMil70 sio kubwa! Ila hofu yangu isijekuwa kinadaiwa Mil80 na TRA, Mil12 TANESCO.....nk
Limekatika kivipi mkuuAsante Mkuu
Ila Zanzibar kwetu huku hatutumii mifuko hiyo miaka Mingi tangu ipigwe marufuku.
Ni bora ukamatwe na Unga kuliko mifuko ya plastic.
Ila hongera kwa ujasiriamali,ila najua hapo ukaguzi haukufanyika,maana naona jengo limekatika kwa mshindo
Hapo Ni Mashine tu ndio zinauzwa mkuu sio jengo Na MashineMkuu hilo jengo zilizomo hizo mashine lina ukubwa gani? Nadhani unauza na jengo pamoja au ni hizo mashine tu mnunuzi akatafute pa kuziweka mwenyewe?