Yani kuna watu mpaka leo bado hamuamini kama Magufuli keshakufa?Hata daraja la mfugale,kijazi na daraja la kigamboni,STDG process zilianza na utawala uliopita lakini zikamaliziwa na cha roho mbaya,tatizo lipo wapi hiki kiwanda cha dhahabu ikawe nongwa credit kwenda kwa mama Samia?