Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Kiwanda kikubwa Afrika ya mashariki na kati cha kuchenjua dhahabu kilichopo jijini Mwanza kimeanza udhalishaji rasmi kuifanya Dubai ihamie Tanzania rasmi kwenye suala zima la biashara ya dhahabu.
Kiwanda hicho kilichozinduliwa na rais Samia mnamo tarehe 13/06/ 2021 kimetajwa kuwa na manufaa makubwa kwa watanzania kwa kutoa ajira pia kuwarahisishia wafanyabiashara wa madini kutoka nchi mbalimbali kuja Tanzania badala ya kwenda Dubai kama ilivyokuwa zamani.
Ikumbukwe pia ujenzi wa kiwanda hiki ulipingwa sana na Tundu Lisu pale aliposema watanzania tukijaribu kuthibiti biashara ya madini tutashitakiwa MIGA.
Kiwanda hicho kilichozinduliwa na rais Samia mnamo tarehe 13/06/ 2021 kimetajwa kuwa na manufaa makubwa kwa watanzania kwa kutoa ajira pia kuwarahisishia wafanyabiashara wa madini kutoka nchi mbalimbali kuja Tanzania badala ya kwenda Dubai kama ilivyokuwa zamani.
Ikumbukwe pia ujenzi wa kiwanda hiki ulipingwa sana na Tundu Lisu pale aliposema watanzania tukijaribu kuthibiti biashara ya madini tutashitakiwa MIGA.