kiwanda cha bia chalipa kodi kulilo migodi yote ya dhahabu

Lawson

Member
Sep 25, 2007
69
4
kampuni moja tu ya kutengeneza bia nchini inalipa kodi nyingi kuliko migodi yote mikubwa ya dhahabu kwa ujumla wao.hii ni jinsi gani tanzania inavyoshindwa kunufaika na utajiri wake mkubwa wa madini.
Tathmini iliyofanywa na kulikoni (9th October 07) ni kwamba kwa mujibu wa hesabu toka serikalini kiwanda cha TBL chenye makao yake makuu jijini Dar peke yake kimelipa kodi ya zaidi ya billion 472 kati ya mwaka '97 na March '05. Taarifa zaidi zinaonesha huenda kampuni hiyo ikawa imelipa kodi zaidi ya bilion 700 ifikapo mwishoni mwa mwaka huu. ukilinganisha na migodi mikubwa ya dhahabu isiyopungua sita hapa nchini inayomilikiwa na kampuni mbali mbali za kimataifa imelipa jumla ya kodi ya dola za marekani 258.8 million tu sawa na bilion 336 tangu mwaka '98
 
kampuni moja tu ya kutengeneza bia nchini inalipa kodi nyingi kuliko migodi yote mikubwa ya dhahabu kwa ujumla wao.hii ni jinsi gani tanzania inavyoshindwa kunufaika na utajiri wake mkubwa wa madini.
Tathmini iliyofanywa na kulikoni (9th October 07) ni kwamba kwa mujibu wa hesabu toka serikalini kiwanda cha TBL chenye makao yake makuu jijini Dar peke yake kimelipa kodi ya zaidi ya billion 472 kati ya mwaka '97 na March '05. Taarifa zaidi zinaonesha huenda kampuni hiyo ikawa imelipa kodi zaidi ya bilion 700 ifikapo mwishoni mwa mwaka huu. ukilinganisha na migodi mikubwa ya dhahabu isiyopungua sita hapa nchini inayomilikiwa na kampuni mbali mbali za kimataifa imelipa jumla ya kodi ya dola za marekani 258.8 million tu sawa na bilion 336 tangu mwaka '98

Hili linatokana na siri kali kuwaachia wenye makampuni hayo waandike mikataba wenyewe bila siri kali kutia neno. Matokeo yake their shareholders are laughing all the way to the bank while Tanzanians are crying foul.
 
kampuni moja tu ya kutengeneza bia nchini inalipa kodi nyingi kuliko migodi yote mikubwa ya dhahabu kwa ujumla wao.hii ni jinsi gani tanzania inavyoshindwa kunufaika na utajiri wake mkubwa wa madini.
Tathmini iliyofanywa na kulikoni (9th October 07) ni kwamba kwa mujibu wa hesabu toka serikalini kiwanda cha TBL chenye makao yake makuu jijini Dar peke yake kimelipa kodi ya zaidi ya billion 472 kati ya mwaka '97 na March '05. Taarifa zaidi zinaonesha huenda kampuni hiyo ikawa imelipa kodi zaidi ya bilion 700 ifikapo mwishoni mwa mwaka huu. ukilinganisha na migodi mikubwa ya dhahabu isiyopungua sita hapa nchini inayomilikiwa na kampuni mbali mbali za kimataifa imelipa jumla ya kodi ya dola za marekani 258.8 million tu sawa na bilion 336 tangu mwaka '98


Hili ni jibu rahisi kwa muheshimiwa mmoja ambaye alikua anashindwa kuelewa why Tanzania inaendelea kuwa maskini... DIRTY BUSINESS is the only reason... Mikataba yote ya madini inabidi iangaliwe upya...... Thats it.
 
kwenye madini kuna uoza unaonuka! sitoshangaa hata ukisikia madini hayatoi mafaida hata kulinganishwa na utalii amabao nao unalega lega
 
Mining sector under the microscope: Govt gets more tax from beer than gold
THIS DAY

WORTH MORE THAN ITS WEIGHT IN GOLD: Tanzania Breweries Limited is taxed roughly twice more than all the large-scale gold mining operations in the country combined.

-Official statistics tell their own tale

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

THE Tanzania Breweries Limited (TBL) pays more taxes than the six largest gold mines in the country combined, THISDAY can reveal today in a single illustration of the country's failure to ensure fair benefits from a sector with the potential of reversing decades of national poverty and underdevelopment.

According to official government figures, TBL paid taxes amounting to over 472bn/- between 1997 and March 2005, making it one of the most successful examples of the country's privatisation programme. And based on reliable estimates, this cumulative figure from the beer-making company is expected to exceed the 700bn/- mark by the end of this year.

But in sharp contrast, official figures also show that all the six large-scale gold mines in the country have paid a combined total of just $258.8m (approx. 336bn/-) to the government in royalties and taxes since 1998.

This effectively means that TBL, which is headquartered in Dar es Salaam's Ilala District but also operates factories in Mwanza and Arusha, pays roughly twice as much tax as all six largest gold mines put together.

The six gold mines included in this scrutiny are mainly owned by multinational companies including Resolute Limited, Ashanti Goldfields, AngloGold and Canada's Barrick Gold Corporation.

Conservative estimates show that the giant mining companies have so far exported out of the country gold worth more than $2bn (over 2.6tr/-) since they began serious operations in the late 1990s.

And speaking on national television last week, the Commissioner for Minerals in the Ministry of Energy and Minerals, Dr Peter Kafumu, disclosed that over the past decade all the gold mines in the country have paid $258.8m to the government in total royalties and taxes.

The remarkable figures serve to demonstrate that not all that glitters is gold in Tanzania as far as payment of taxes and contribution to the national economic output is concerned.

Available statistics show that since its privatisation to the then South African Breweries (SAB), TBL has posted a steady increase in annual tax payments to the government, with the following breakdown: 1997 (45bn/-), 1998 (48bn/-), 2000 (46bn/-), 2001 (50bn/-), 2002 (75bn/-), year ended 31 March 2004 (98bn/-) and year ended 31 March 2005 (110bn/-).


The statistics have come to light in the midst of an ongoing national debate on mining royalties and taxes, with the vast majority of Tanzanians demanding that the country should be getting a much bigger share of the proceeds from ongoing gold mining operations.

It has been argued that the existing tax and regulatory regimes are more beneficial to the mining companies than the country itself; a factor that appears to have convinced the fourth phase government under President Kikwete to re-negotiate new deals with some of the multinational mining firms.

So far, AngloGold, Barrick Gold and Resolute have all agreed to waive a 15 per cent tax allowance on unredeemed capital, and to pay annual levies of $200,000 directly to local government authorities in their respective areas of operation.

Although Tanzania currently produces more than 50 tonnes of gold per annum - making it one of Africa's recognised mining powerhouses - it has been frequently pointed out that most of the proceeds from the multi-billion dollar gold exports have had very little trickle-down effect on the overall Tanzanian economy.
 
Conservative estimates show that the giant mining companies have so far exported out of the country gold worth more than $2bn (over 2.6tr/-) since they began serious operations in the late 1990s.

This sounds like a very, very, very conservative estimate.

The country is being looted in broad daylight while our president is trying to figure out why we are still poor.

sad, sad ,sad
 
...very good na sasa watu hawataki upuuzi ni fact & statistics tupu ndio zinaongea sasa na kina kingunge sijui wataongea nini? vipi na Hotel ya Sheraton,Move n pick Royal whatever....blah blah tangu ijengwe wamelipa Tax kiasi gani? msije mkashtuka daladala la mwenge posta limelipa zaidi ya hiyo hotel
 
Kuna mtu mwenye data za uzalishaji wa dhahabu Ghana, Mali na SA.

Ulinganisho wa mapato na uzalishaji utasaidia kujua hiyo gap ina-represent nini.
 
Unaweza Kuta Hao Jamaa Wanalipa Sana Ila Zaenda Kwenye Matumbo Ya Watu Mazara Yake Sirikali Inaambulia Patupu.
Ni Kheri Utawaliwe Na Mzungu Ujue Moja Kuwa Ni Mkoloni Kuliko Mtz Mwenzako"kikulacho Ki Nguoni Mwako"
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom