Kama unatamani wa namna hiyo, mvishe tu mkeo kama huyo ili unusuru ndoa yako! Hapo unategemea nini kama sio gonjwa la sehemu za siri au kwenye damu ya mwili wako?
Hii nadhani ilikuwa ni siku ya kutoa tuzo za Kili, tena alikuwa na baba yake pamoja na Banana.,kweli maadili yametokomea kusikojulikana yaani kivazi hiko mbele ya baba yako mzazi na umati wa mamia ya watu...,mmh!, bora Yesu arudi tu.
Mi nadhani hakuna ubaya saaaaana ila labda amekivaa sehemu isiyo, angekuja mtu kavaa swimming costume ingekuwa hatari zaidi au?Sasa hapo naona kama ni harusini watoto, wazee(wenye heshima kibao) doo inabidi wa namna hiyo waaangalie chini kila akipita ingawa naona kama kinafunga mbele?*?
kuvaa kote uchi ki hivyo lakini no mvuto, yaani haviii hata kidunchu, na hiyo make up ndio kavuruga mazima, nimeona pics nyingine cjui blog gani, kuna yule presenter wa star tv uwiii yaani kituko kabisaaaa, hivi hawawezi kuwa cmple tu wakaeleweka? nimemuona na yule mtangazaji wa clouds nae cjawahi kunuona akipendeza kwenye matukio jamani, hivi wanadhani kujiweka uch uchi ndio kupendeza?