Kiusalama wa Rais, Je hii ni sawa?

Kiusalama wa Rais, Je hii ni sawa?

Bwana Mapesa

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
2,551
Reaction score
1,777
Habari WanaJf,

Leo nilikuwa naangalia live ufunguzi wa benki ya CRDB tawi la Chato, katika kipengele cha burudani kuna kikundi cha ngoma za asili wakati kinatumbuzi alitokea bwana mmoja miongoni mwa washereheshaji ambae alikuwa na muonekano kama wa jini au kichaa, mwili mzima amejipaka vitu kama mkaa au madawa.

Wakati anatumbuiza alielekea upande alipo Rais, hapa wanausalama walionekana wazi kutomuamini huyu mtu kumsogelea raisi lakini bila kujali hilo Rais aliamuru huyu mtu amkafibie.

Swali langu ni je hii ni sawa kiusalama wa Rais, mfano kama huyu mtu alijipaka sumu? Au amebeba kitu hatari usalama wa Rais unakuwa katika hali gani?.

 
Already scanned.

Kuna layer nyingi za ulinzi. Hadi afike hapo tayari ameshapitia level nyingi za ulinzi na akahakikiwa ni salama.
 
Viongozi huwa wanalindwa na wana usalama kwa watu wanaotembea lakini zaidi huwa wanalindwa sana na nguvu za giza (mapepo.majini.na ulozi) ndio maana kipindi cha chaguzi albino wanakuwa dili sana mkuu hapo usalama umethibitishwa tayari
 
Already scanned.

Kuna layer nyingi za ulinzi. Hadi afike hapo tayari ameshapitia level nyingi za ulinzi na akahakikiwa ni salama.
Kama umeangalia vizuri video utagundua hakupitia security check yeyote ndo maana wale bodyguards hawakutaka kabisa amsogelee Rais
 
Habari WanaJf,

Leo nilikuwa naangalia live ufunguzi wa benki ya CRDB tawi la Chato, katika kipengele cha burudani kuna kikundi cha ngoma za asili wakati kinatumbuzi alitokea bwana mmoja miongoni mwa washereheshaji ambae alikuwa na muonekano kama wa jini au kichaa, mwili mzima amejipaka vitu kama mkaa au madawa.

Wakati anatumbuiza alielekea upande alipo Rais, hapa wanausalama walionekana wazi kutomuamini huyu mtu kumsogelea raisi lakini bila kujali hilo Rais aliamuru huyu mtu amkafibie.

Swali langu ni je hii ni sawa kiusalama wa Rais, mfano kama huyu mtu alijipaka sumu? Au amebeba kitu hatari usalama wa Rais unakuwa katika hali gani?.




YAAANI NIMEICHEKI TENA HII VIDEO AISEEEEE HAPO HAKUNA FULL SCANNED MKUU BAVARIA..., NA JAMAA ANGEMAANISHA INGEKUWA VERY., MANAKE ALIWAFACE FAST,,,,, HAHAHAHAHAHAHAAAAA
AFADHARI HATA WALE JAMAA WA MH; MUGABE
 
Sehemu anayokuwa Rais inakua inehakikiwa usalama kwa 200%,labda tu mtu apate uchizi wa ghafla na atadhibitiwa kwa sekunde kadhaa
 
Back
Top Bottom