Kiungo mkabaji,Papy Kabamba Tshishimbi ametua Dar,kusaini Yanga ndani ya masaa48!!

Wonderful

JF-Expert Member
Apr 8, 2015
7,348
5,977
Tayari yupo kwenye mikono salama na atasain Yanga ndani ya 48hrs!!
C__Data_Users_DefApps_AppData_INTERNETEXPLORER_Temp_Saved Images_images(1).jpg
 
Mkuu Konaball ubarikiwe Sana,nimeiona hiyo video kiukweli kamaa ni nouma sana,anakaba mpaka kimvuli cha nyasi aloooh!maana naona ata mipira haifiki kwa mabeki yeye anaosha tu tena kinyama!!
 
Usajili Makini, Naitabiria Yanga kuchukua Ubingwa tena kwa mara ya nne mfululizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom