Wacha roho ya kishetani we were. Hilo ni dua la kuku.ngoja aanze kupata majeruhi ndio mtajua umri wake halisi
acha figisu wewe,hajazeeka ni athari ya mkorogo
acha figisu wewe,hajazeeka ni athari ya mkorogo
Roho mbaya itakuua wewe.Mcameroon vp tz pekee mchezaji anasajiliwa kwa mechi moja tangu aondoke Chuji vyura hamjawai pata namba 6 uyu hana tofauti na mkata umeme
Sent using Jamii Forums mobile app