Mimi sijambo! Hofu kwako maana ulipotea sana hadi tukahisi mengi.Thanks bro kwa kutii kiu yangu. Ahsante ngoja nifike home nianze kumsoma. Vp hali yako lakini?
Nilikuwa na plan kutorudi JF kabisa lakini roho ingeniuma zaidi.Nzurii kabisa mkuu vipi hali yako? Mkuu usalama wa member humu unapimika
Yupo kajaa tele hapo maternity ward...
Nilikuwa na wageni