Mukua
Senior Member
- Sep 30, 2021
- 156
- 202
Alikuwa ukimuona Yuko kanisani utasema mcha Mungu kweli kweli.Mambo yote ya awamu ya Tano yanaonekana kama hakuna cha maana kilichofanyika na chanzo kikubwa ni jaribio la mauaji kwa Tundu Lissu.
Kwa kuhitimisha hakuna legacy yeyote iliyoachwa na Mwanazake.
Kumbe sio ni shetani aliye jivisha joho la utakatifu.