Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Magufuli Hana shida. Shida ni mfumo anaoingia nao madarakani
Hoja ya kitoto kabisa hii ..nikuulize na unijibu kwa kifupi na sahihi pia, Mama Tibaijuka alishindwa kuisadia sekta ya ardhi na kutatua migogoro yake lakini alivyokuja Lukuvi akaweza mpaka akaonekana ile sekta kaiweza ..sasa jibu, kama mfumo ni tatizo na kama mfumo ni ule ule iliwezekana vipi Lukuvi akayaweza ambayo yalionekana hayawezekani wakati wa mama Tibaijuka?