Kituo cha Redio Uhuru Fm kinamilikiwa na nani?

Kituo cha Redio Uhuru Fm kinamilikiwa na nani?

wakulichomeka

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2014
Posts
517
Reaction score
142
Kuna kituo kimoja cha redio kinaitwa Uhuru Fm kituo hiki nilikua nakifatilia matangazo yake huko nyuma.

Ila kwasasa kimeanza kunishangaza kinaonekana kupendelea sana chama tawala na kuuponda sana UKAWA tofauti na vituo vingine.
 
Ni kituo cha chama cha Mapinduzi
 
...hahaha genge la misukule...
 
Kinamilikiwa na chama cha mapinduzi pamoja na gazeti la Uhuru
 
uhuru radio-ccm
uhuru gazeti-ccm
tbc1,tbc2,tbc taifa-ccm
police-ccm
goli la mkono la jaji libuva-ccm
 
Pole kama ulikuwa hujui kwamba kinamilikiwa na magamba. Ni kampuni ndani ya CCM kikisaidiwa na TBC ya Mshana baada ya Tido ambaye TBC ilikuwa ya Umma.
 
Kuna kituo kimoja cha redio kinaitwa Uhuru Fm kituo hiki nilikua nakifatilia matangazo yake huko nyuma.

Ila kwasasa kimeanza kunishangaza kinaonekana kupendelea sana chama tawala na kuuponda sana UKAWA tofauti na vituo vingine.
Uhuru kenyata
 
Last edited by a moderator:
Kuna kituo kimoja cha redio kinaitwa Uhuru Fm kituo hiki nilikua nakifatilia matangazo yake huko nyuma.

Ila kwasasa kimeanza kunishangaza kinaonekana kupendelea sana chama tawala na kuuponda sana UKAWA tofauti na vituo vingine.

Khaaa!.....hiv kuna watu bado wasikiliza radio uhuru karne hii????......mimi hata tbc niliacha kuangalia zamaniiii......pole mkuu.
 
Kuna kituo kimoja cha redio kinaitwa Uhuru Fm kituo hiki nilikua nakifatilia matangazo yake huko nyuma.

Ila kwasasa kimeanza kunishangaza kinaonekana kupendelea sana chama tawala na kuuponda sana UKAWA tofauti na vituo vingine.
Kabla Mh. Edo hajatia tim UKAWA haikuwa na madhara!!!!!
 
wewe jamaa matmbo kweli siku zote ulikuwa hujui kama hiyo redio ya magamba?
 
kama naona vile jamaa wanavyo potea hewani baada ya October 25
 
ni radio ya chama tawala. ni ya muda tu. miaka ya 1999 , 2000 walikuwa na kipindi chao cha Chelsea pina hakipo tena nilikuwa nafuatilia. sio hiyo tu viwanja vya mpira ni vyake jamhuri moro-dodoma, kirumba, abed amani, na vingine, maeneo unayosikia yanaitwa sabasaba na majengo yake. majengo hayo walikatwa watu kwenye mishahara na ushuru kwenye mazao kupitia vyama vya ishirika ilikuwa ni kuimarisha CHAMA.
 
Back
Top Bottom