kama kisa itakuwa ule uchaguzi wa serikali ya kijiji unadhani wachomaji watakuwa akina nani mkuu?
Naambiwa na ofisi ya kata nayo imehalibiwa vibaya sana wanasema hawana mbunge wa kuatetea bali wana mbunge wa kwenye magazeti mkaazi wa dar es salaam ambaye ni january makamba..
Hawakawii kusema CDM...
Makamba hakuwapo?
Tatizo la kudharau elimu. Yote haya yanatokana na wenyeji kutofuta ujinga.Hivi huko hata dini hazijasaidia kuondoa imani hizi?Ni kweli kimeharibiwa na wananchi tatizo ni kufungwa kwa mganga wa kienyeji kwa jina Manyaunyau anayefanya kazi ya kuondoa majini kwa wachawi.
Inavyosemekana wazee wachawi wa bumbuli mjini wamekataa mganga huyo kufanya kazi hiyo kuhofia kuingia aibu.
Source mtu wa karibu aliyepo Bumbuli.
Mkuu hofu yangu ni kwamba hao wananchi wanaweza kuunganishwa kwenye kesi ya ugaidi.
nchi hii mtu ukishajitambua unaitwa gaidi
Tatizo la kudharau elimu. Yote haya yanatokana na wenyeji kutofuta ujinga.Hivi huko hata dini hazijasaidia kuondoa imani hizi?
ni kweli kimeharibiwa na wananchi tatizo ni kufungwa kwa mganga wa kienyeji kwa jina manyaunyau anayefanya kazi ya kuondoa majini kwa wachawi.
Inavyosemekana wazee wachawi wa bumbuli mjini wamekataa mganga huyo kufanya kazi hiyo kuhofia kuingia aibu.
Source mtu wa karibu aliyepo bumbuli.
Wapi January nyumbani kunateketea...
kama ni hivyo wamekosea kuharibu mali ya ccm,hivi matatizo ya bumbuli atayamaliza manyaunyau?watz tumelogwa badala ya kudai vitu vya msingi tunadai ushirikina halafu mbunge wao si huyu ambaye anahamasisha digital?.
mchaguni slaa sasa.masabur kazini
Kunatàrifa nimezipata
kuwa kituo cha polisi cha BUMBULI kimechomwamoto baada ya momgano wa
polisi na wananchi..naendelea kupata taarifa zaidi na kukama alienipa
taarifa kama naweza kunipatia picha..
"@Chahali Kituo hakijachomwa moto. Ila ni kweli wananchi wana hasira sababu tumemfukuza mtu waliyemuita na kumlipa kuibua wachawi. Waambie JF"
"@Chahali Changamoto kubwa kwetu kule sio tu barabara, elimu, etc. Ni pamoja na mambo kama haya. Yametubakiza nyuma miaka mingi. Tunayakabili"
Hayo ni maelezo niliyopewa na Mbunge wa Bumbuli Mh January Makamba kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter
Chadema hao! kwao ishakuwa ajenda! Uongo uongo tu!Asante kwakuweka mambo sawa.