N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,992
- 12,036
Hiki kitasaidia kuzuia wizi wa kura,Lazima kiwe na uwakilishi wa kila Upande chama ulioshiriki uchaguzi.
#TumainiMakene fikisheni UKAWA hili wazo la kituo kimoja huru cha kuhesabia kura vinginevyo mkiiachia NEC subirini maumivu. Piganieni zoezi la uhesabuji Kura liwe la wazi.
Tafadhali sana we want a fair election with no or few gists of rigging.
Sambaza hashtag hii #Kituochakuhesabiakuralazima .
#Nationaltallyingcenteramust .
#TumainiMakene fikisheni UKAWA hili wazo la kituo kimoja huru cha kuhesabia kura vinginevyo mkiiachia NEC subirini maumivu. Piganieni zoezi la uhesabuji Kura liwe la wazi.
Tafadhali sana we want a fair election with no or few gists of rigging.
Sambaza hashtag hii #Kituochakuhesabiakuralazima .
#Nationaltallyingcenteramust .