Kituo cha BRT na Daladala Gerezani

ahbsa

New Member
Joined
Aug 14, 2021
Posts
4
Reaction score
3
Habari zenu Ndugu.
naomba ufafanuzi kidogo maana kuna jambo linasababisha kero na foleni kubwa ndani ya kariakoo.
hivi haya madaladala yenye route kama masaki---gerezani kwanini yanaishia kariakoo na hayafiki kabisa gerezani?
je kuna mpango wa kuyahamishia kituo cha gerezani?
kituo hicho kipo tayari?
ikifika jioni ndio wanayalaza kariakoo tena wanafunga na mitaa kabisa. inakuaje wanaachiwa wafanye wanavyotaka?
naombeni ufafanuzi kidogo wana JF maana hali ishakuwa tete mitaa ya huku.

weekend njema.
 
We fanya yako. Mambo mengine waachie serikali.
 
K/koo yote hakuna vituo rasmi vya daladala ni vurugu mechi 2
 
Kituo cha gerezani bado hakijakamilika nahisi mpaka mwakani kitaanza kufanya kazi,pia kumbuka kuwa hicho kituo kitafunguliwa Rasmi baada ya route ya mbagala ya BRT kukamilika...
Ni suala la muda Tu kilakitu kitaenda poa na hayo Mabus yote yanayopaki hovyo mitaa ya Kariakoo yatahamia kituo kikuu cha gerezani
 
Ni bora iwe hivyo mkuu, kuna siku nlikua nasaka gari za mbagala nilizunguka kweli. Vituo havieleweki kabisa kila magari yapo ipande wake tofauti kabisaa .
 
Ni bora iwe hivyo mkuu, kuna siku nlikua nasaka gari za mbagala nilizunguka kweli. Vituo havieleweki kabisa kila magari yapo ipande wake tofauti kabisaa .
Hahahaha πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizo gari za mbagala ndiyo Pasua kichwa kabisaaa!!!!
 
Gerezani yakalale sehemu gani pale?
 
Hii uhakika?? aisee itakuwa poa sana. Na pia serikali itaweza kukusanya mapato kwa anaetaka kulaza gari lake. (Kwa services kama usalama na ulinzi wa hayo magari)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…