Kituo cha gerezani bado hakijakamilika nahisi mpaka mwakani kitaanza kufanya kazi,pia kumbuka kuwa hicho kituo kitafunguliwa Rasmi baada ya route ya mbagala ya BRT kukamilika...
Ni suala la muda Tu kilakitu kitaenda poa na hayo Mabus yote yanayopaki hovyo mitaa ya Kariakoo yatahamia kituo kikuu cha gerezani