Kituko cha uandikishaji wa wapiga kura - Kasulu

Kituko cha uandikishaji wa wapiga kura - Kasulu

Kwakweli kazi tunayo!ila kupeana kazi kwa kujuana tatizo lake ndo hilo.
 
wenzetu wakenya uchaguzi ni 2017 lakini time yao ishaanza kuandikisha watu now.
nimekuwa nikijiuliza maswali mengi bila kupata majibu.
hivi tume walikuwa wapi kuanza zoezi hiki mapema?
je hii inaweza ikawa Jana ya ccm ili watu wasijiandikishe wengi!
haiingii akilini zoezi nyeti,watu wanakurupuka dakika za mwisho bana.
hawa watu walikuwa na huden agenda yao.
 
Nakumbuka tume ya uchaguzi moja ya changamoto walizozitaja ni kuwa na wataalamu wachache wa kufanya kazi hii.
Sasa unakuja kujiuliza je, walikurupushwa na zoezi hili au la???Na kama walijiandaa kwanini kunakuwa na uzembe wa namna hii???

Pia wataalam wa computer kuachwa na kuchukuliwa makanjanja kindugu na watendaji wa halmashauri
 
Back
Top Bottom