Lema hata mimi ananisikitisha kwa jinsi alivyokosa umakini hadi kusota jela kitoto kabisaIncrements za wafanya kazi kutowekwa na kuvunja mikataba pia malimbikizo kibao kutolipwa.
Ben saa8,
Lema,
Melo,
Kukosa mikopo wanafunzi,
Watu Fulani kujiita Mungu,
Slowslow kuonesha unafiki wa 10000000%
#jumuiyazakimataifatusaidienitumehuruyauchaguzi2020#
Mkuu nimecheka sana hapo kwenye red,hilo neno niliwahi kulisikia kitambo sana aisee!!Nikusikia upinzani Bongo kuamini kushinda Uchaguzi 2020 wakati hali yao ya kisiasa ni mbaya sana sasa inayoashiria mpaka mwaka huo watakuwa zoofu-ilhari!!!!