kitoweo adimu....

Juma chief

JF-Expert Member
Jun 6, 2016
2,757
2,353
6dca0c8a460473de2978ed3b52c971a5.jpg
3caa7820d66bc108e36f51a5fab6d2ce.jpg
...
......
 
Kuna dada alipata kuishi nchi moja ya Africa ya kati, huko kuna mama alikuwa akiuza nyama kwenye vimifuko, yule dada alijua ni nyama ya mbuzi, kila akifika ananunua vifuko viwili/vitatu. Ni kama baada ya mwaka ndipo alikuja ilikuwa ni nyama ya mbwa.
 
Kuna dada alipata kuishi nchi moja ya Africa ya kati, huko kuna mama alikuwa akiuza nyama kwenye vimifuko, yule dada alijua ni nyama ya mbuzi, kila akifika ananunua vifuko viwili/vitatu. Ni kama baada ya mwaka ndipo alikuja ilikuwa ni nyama ya mbwa.
Tamuje...!
 
Lete na pilipili kwa pembeni mhudumu na mzinga wa k vant mbona mororo tu ndiyo maana wachina wa akili sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom