Evarm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 2,000
- 1,560
Salaam JF Doctors,
Nina mimba ya miezi minne, jioni ya leo ninajisikia kitovu kuvuta sana kwa ndani na hii hali inaendelea hadi sasa. Ninaombeni msaada wenu kufahamu je hii hali ni kawaida au ni tatizo kwa mama mjamzito? Samahani nipo mbali sana na hospitali ningeweza kwenda kupima na kujua tatizo ni nini. Naombeni ushauri wenu nifanyeje haya maumivu yapungue. Riwa , MziziMkavu , hippocratessocrates na wengineo naombeni ushauri.
Nawasilisha.
Nina mimba ya miezi minne, jioni ya leo ninajisikia kitovu kuvuta sana kwa ndani na hii hali inaendelea hadi sasa. Ninaombeni msaada wenu kufahamu je hii hali ni kawaida au ni tatizo kwa mama mjamzito? Samahani nipo mbali sana na hospitali ningeweza kwenda kupima na kujua tatizo ni nini. Naombeni ushauri wenu nifanyeje haya maumivu yapungue. Riwa , MziziMkavu , hippocratessocrates na wengineo naombeni ushauri.
Nawasilisha.
Last edited by a moderator: