Habari zenu ndugu wana JF. Ningependa kuuliza kama mnafahamu kuhusu huu ugonjwa kitoto cha jicho ni nini, na unatokana na nini na matibabu yake ni nini? Mzee wangu amepatwa na maumivu makali jicho moja na amenieleza kuwa amepata huo ugonjwa. Nitashukuru sana kama mnaweza kunisaidia kwa ushauri au hata sehemu anapoweza pata matibabu mapema kabla mambo hayajawa magumu.
Natanguliza shukrani, Aluta!
Natanguliza shukrani, Aluta!