wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 269
kinachotakiwa tanesco ni serikali ifanye yafuatayo
kuondoa kodi ya mafuta inayofikia 80bn kama alivyosema mhando
kudhamini tanesco kukopa kwenye mabenk, syndicate loan ili kuwalipa wadai wao ili kuepusha mgao
hata akienda kikwete pale kuwa MD haitasaidia, hatuhitaji kuuza sura bali kufanya kazi, na kufanya kazi ni pesa inatakiwa siyo barua na siasa
Taarifa za hapa Dar mchana huu zinasema kuwa KITILYA wa TRA anaweza kupelekwa TRA kuokoa jahazi la TANESCO lisizame
swali; Je Kitilya anafaa au hafai kupelekwa Tanesco? sababu ni zipi?
Kwanini kodi iondolewe? Unadhani Tanesco ndio wanaolipa kodi au ni wananchi?
Serikali iwadhamini wakope walipe deni!, haya ni mawazo yako au ni mawazo ya bia!
Ili twende sawa lazima turudi nyuma tuulizane kwanza hela zote inazokopa na zile ambazo serikali imetoa kwa miaka mingi, zimepotelea wapi? Kumbuka kila senti inayokopwa wananchi tumeilipa kupitia bili za umeme
Tanesco na makampuni mengi ya ummah yanahitaji wazungu tu kuiendesha....
nchi ya ajabu hiiii
tunaajiri wazungu kwa mpira
lakini hatutafuti wataalam wa kutoka nje kwa menejiment.....
BOSS si walikuwepo wale makaburu wauza stationeries toka South Africa ambao waliingizwa na Mkapa kwa mtutu wa bunduki lakini kazi ikawashinda? Hata Wazungu pia hufanya madudu mengi tu.
Mie naamini wako Wabongo ambao wanaweza kabisa kuiendesha TANESCO ila tu wawe huru kuachiwa kuiendesha bila kuingiliwa na Serikali (Wizara ya Nishati) Angalia matatizo mengi sasa hivvi ya TANESO (Dowans, IPTL, mikataba ya Gas n.k.) Chanzo chake kikubwa ni Serikali (Nishati) Kwa mfano baada wataalamu wa TANESCO kuitathmini kampuni ya Richmond kabla haijaingia mkataba na Serikali wataalam wa TANESCO waliishauri Serikali kwamba Richmond haina uwezo wa kufua umeme hivyo isipewe mradi ule, lakini Serikali haikusikia ushauri wa wataalam wa TANESCO na yaliyotokea wote tunayajua.
naunga hoja mkuu maana tangu aichukue NMC hatujawahi kosa ngano,maji,mkate!hata sasa serikali inategemea uwanja wake chamazi,boat za kwenda zanzibar,ana viwanda msumbiji,malawi,rwanda,ugandaHafai, ni wale wale tu.
TANESCO apewe S. S. Bakhresa kuiendesha.
BAK please usipende sikiliza radio mbao
kwanza hao makaburu ndio walioiambia serikali ubovu wa kampuni ya Richmond
soma vizuri ripoti ya Mwakyembe...
CEO kaburu ndio aliepinga zoezi zima la Richmond....
halafu nikisema wazungu sina maana mzungu Rangi tu
awe qualified na uzoefu unaohitajika
wazungu ndio wana ubavu wa kukataa 'siasa' na presha za viongozi dhaifu wa nchi hiii....
Hakuna chochote nilichoandika hapa ni cha kutoka redio mbao. Hizo ni info kutoka kwa close friends ndani ya TANESCO ambao wako kwenye position za juu. Waliofanya tathmini kama Richmond/Dowans wanastahili kupewa mkataba wa kufua umeme wakati ule nchi imegubikwa na giza nene na Wabongo wa kuzaliwa, CEO kaburu hakuwa na uwezo wowote wa kufanya tathmini ile kwa sababu alikuwa hajui chochote kuhusiana na ABC za ufuaji wa umeme.
Wazungu makaburu walikuwa pale TANESCO lakini hawakuweza kukataa chochote kuhusu "siasa" na hivyo kusign mkataba wa kifisadi na kampuni ya wizi ya Mkapa "Kiwira" ya mkataba wa $326 millioni.
Hakuna chochote nilichoandika hapa ni cha kutoka redio mbao. Hizo ni info kutoka kwa close friends ndani ya TANESCO ambao wako kwenye position za juu. Waliofanya tathmini kama Richmond/Dowans wanastahili kupewa mkataba wa kufua umeme wakati ule nchi imegubikwa na giza nene na Wabongo wa kuzaliwa, CEO kaburu hakuwa na uwezo wowote wa kufanya tathmini ile kwa sababu alikuwa hajui chochote kuhusiana na ABC za ufuaji wa umeme.
Wazungu makaburu walikuwa pale TANESCO lakini hawakuweza kukataa chochote kuhusu "siasa" na hivyo kusign mkataba wa kifisadi na kampuni ya wizi ya Mkapa "Kiwira" ya mkataba wa $326 millioni.