GE2025 Kitila aendelea kusaka Kura nyumba kwa nyumba bila kujali mvua

GE2025 Kitila aendelea kusaka Kura nyumba kwa nyumba bila kujali mvua

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Oktoba 7, 2025, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, aliendelea na kampeni zake za nyumba kwa nyumba, mtaa kwa mtaa katika mtaa wa Kimara Baruti, uliopo Kata ya Kimara, Ubungo, Dar es Salaam.

Pamoja na hali ya mvua, Kitila aliendelea kuwatembelea waajiri wake (wananchi), kueleza aliyotekeleza na kuomba kura ili kupewa nafasi ya kuongoza kwa miaka mingine mitano.

Kitila aliambatana na mgombea Udiwani wa Kata ya Kimara, Mhandisi Ismail Mvungi.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom