To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 28,711
- 66,984
Ulisomea nini mpenz?Mimi ninavyotamani kuajiriwa😑
Ulisomea nini mpenz?Mimi ninavyotamani kuajiriwa😑
I wish tuongee private.Ulisomea nini mpenz?
Ushauri.
Mwanaume ukikuta Kuna ugomvi na mkeo na huwezi kutatua hapo nyumbani Bora uhame iendelee na maisha Yako Ukiwa mbali tofauti na hapo ndio haya Sasa.
View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1723665910248980678?t=deDkfL0Rmyys7_Tif7p-mw&s=19
Ajira kwa mwanamke ni ulinzi kwake kwa sababu mume akisema sina anatoa yake bila hata kumbeg MTU....ila pia ukiolewa bila kuwa na ajira kama mume anakupenda kweli anakufungulia biashara au anakupa mtajiMimi ninavyotamani kuajiriwa😑
Kweli tupuAjira kwa mwanamke ni ulinzi kwake kwa sababu mume akisema sina anatoa yake bila hata kumbeg MTU....ila pia ukiolewa bila kuwa na ajira kama mume anakupenda kweli anakufungulia biashara au anakupa mtaji
Sawa mpenz,ngoja nipike kwanza nakucheck pmI wish tuongee private.
Kweli kabisaAjira kwa mwanamke ni ulinzi kwake kwa sababu mume akisema sina anatoa yake bila hata kumbeg MTU....ila pia ukiolewa bila kuwa na ajira kama mume anakupenda kweli anakufungulia biashara au anakupa mtaji
Sawa mpenziSawa mpenz,ngoja nipike kwanza nakucheck pm
Ulinzi shirikishi na kukesha usiku, kwanin mpenzi umeulizaUlisomea nini mpenz?
Wewe kila siku unakua mzuri zaidi ya Jana au nna macho mabovuSawa mpenzi
Macho yanakudanganya tu🥴Wewe kila siku unakua mzuri zaidi ya Jana au nna macho mabovu
haya mpenzi baadae kidogoSawa mpenzi
Mtoto kila siku unakuja na sura mpyaMacho yanakudanganya tu🥴
Sura mpya?Mtoto kila siku unakuja na sura mpya
Ndio sura mpya mtoto alafu sura nzuri nzuri hivi unamjua erick_otienoSura mpya?
HapanaNdio sura mpya mtoto alafu sura nzuri nzuri hivi unamjua erick_otieno
Ushakuja na sura nyingine tayari aseeHapana
Pole yake mjane na watotoMajuzi ijumaa