Nina shida na namba ya RPC Mwanza. Kwa yeyote anayeweza kunisaidia,natanguliza shukrani. Au kama kuna mtu anaelewa,ni kitengo gani cha kushughulikia askali Police tapeli!
Neenda kituoni kwenye dawati la police na jamii issue kama ni kweli itashugurikiwa haraka ataitwa na atahojiwa, kama wote mlikua kwenye dili hakakuruka usipoteze mda.
Neenda kituoni kwenye dawati la police na jamii issue kama ni kweli itashugurikiwa haraka ataitwa na atahojiwa, kama wote mlikua kwenye dili hakakuruka usipoteze mda.