nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 202
- 425
- Thread starter
- #41
We acha tu kanizulia vita hukuSasa huyo mteja anaulizia umefika ili iweje sasa.
We acha tu kanizulia vita hukuSasa huyo mteja anaulizia umefika ili iweje sasa.
Duh, nishajibu swali la jinsi hii juu ukoEmbu mkuu fanya hyo sms ndio umeikuta Kwa mkeo mda mchachee ametoka na kurudi alafu hyo sms ndio ikaingiaa Kwa sm yake
Muujiza Gani ungetokea upande wako usiulize sms ya nani hii
KATAA NDOAA....
Sasa tena mbona una wasiwasi na kutaka ushauri?Sifichi simu wala sms ndo maana kasoma wakati nimelala
Ni kweli ila mi sijachati nae, Kuna sms iyo ye ndo katuma kua vip ushafika? Na mi sikujibu ile smsMkuu. Punguza chat. Kuwa unapiga. Na ukipiga usipende asikie hata kama hakuna kibaya. Ni watu wenye speculations wakati mwingi. Yaani ni ma ofisa wa upelelezi waliojiajiri.
Tuhuma zinazingua then hu usiku, Kuna wengine kutuhumiwa na Kosa la uongo hatupendagiSasa tena mbona una wasiwasi na kutaka ushauri?
Mke anahisi katoka kupata utelezi na sms zote za awali zimefutwa ..Wanawake wana matatizo.
Kwenye hii case yako wote wamezingua.
Eti umefika? Yaani kurekebishiwa simu tu unaanza kuniuliza na nimefika.
Mkeo naye kaona tu "umefika " anapaniki.....
Anashindwa kujiongeza kuwa kingekuwa kitu cha siri asingekiona.
Hakuna sms nimefuta mzeeMke anahisi katoka kupata utelezi na sms zote za awali zimefutwa ..
Kanishangaza kwa kweli,Kumbe unaishi kwa Kuangalia jamii inakuonaje, Endelea kufokewa na Mkeo
Bila ushahidii?Saikolojia ya wanawake ni ndogo sana akichiti utajua tu.
HahahaaaIla hawa wanawake tunaoa tu sababu hatuna wasaidizi ila of course wanaboa sana. Asione sms ya jinsi ya kike hata kama sio mbaya anakufokea.
Leo nilikua na safari town kununua mazaga ya familia kuna sister mmoja work mate alikua anasumbuliwa na simu yake, akanitext nimrekebishie chap alikuja na sister yake nikarekebisha ndani ya dakika 20 nikarudi zangu maskani sasa kuna sms katuma kua ushafika? Kibaya zaidi sijaireply.
Kumbe wife kasoma wakati nimelala mchana saiv ananiambia nimekutana na mtu wangu sijamjibu adi saiv. Dah hatari
Naona jamaa analaumu bure tu.Wanawake wana matatizo.
Kwenye hii case yako wote wamezingua.
Eti umefika? Yaani kurekebishiwa simu tu unaanza kuniuliza na nimefika.
Mkeo naye kaona tu "umefika " anapaniki.....
Anashindwa kujiongeza kuwa kingekuwa kitu cha siri asingekiona.
Nifafanulie mkuu kwa vipi?Naona jamaa analaumu bure tu.
Inaonyesha wazi huyo workmate anahisia na jsmaa kimtindo...hiyo sms ni ndogo ya kawaida lkn ina kiashiria cha kumjali jamaa.
Wanawake wana hisia kali sana, huwa wanaona kile tusichokiona kwa haraka
Kwa hii situation ukileta ukali unaweza zua mzozo mkuu ndo maana sijamjibu loloteKufokewa na mwanamke ni kiashiria cha udhaifu. Kuendesha ndoa ki demokrasia imewagharimu wengi
VizuriKwa hii situation ukileta ukali unaweza zua mzozo mkuu ndo maana sijamjibu lolote
Wanawake wa miaka hii kila kitu mnataka kushindana tuuuu, itafika mahali mtazaa n'a wanaume wengine mkiwa ndani ya ndoa kwa kulipiza waume zenu!Lakini, kama ungekuta katumiwa text ya aina hiyo ingekuwaje?
Ungekaa kimya kama ambavyo ulitaka yeye akae bila kuuliza?