Hiyo loss inafanya wao wasilipwe mishahara yao? Hata ukiliuza ndio utawanyima stahiki zao? Wao sio losers sababu shirika sio mali yao.Wao ndio wanatia hasara kuanzia CEO hadi messenger ndio maan linapata loss
Shirika linakabidhiwa private sector wanaojua kuzalisha kwa faida na kulipa kodi kuliko hao mabwege wategemea ruzuku ambao gharama zote zinategemea ruzuku ya Serikali au tozo
Sio kitu kikubwa .They can't unawapa Private sector local or international
Heri Upokee kodi kuliko kodi kiduchu unazopata uwapelekee wao
Kinana kaongea kitu kizito mno lakini wasomi wetu wana dharau sana kwa wanasiasa
Mwanasiasa ni chief administrative officer wa fani zote za public sector ndio maana heads wote wa public sector huchaguliwa na kuapishwa na Raisi hata kama Raisi ni darasa la Saba au form four failure au kasoma madrasa tu hana elimu dunia