kawaida sana, kama hujasoma chuo utashangaa.
Du Da Pretty ungerudi na kutufahamisha zaidi huko kusini ni kwa Wangoni au Wamakonde
Maana toka jana kulikuwa hakuna hata mechi kweli?
Au jamaa hakuja
au ulipewa mzigo mwingine wa kukupigisha RI gwaride saa hizi umechoka
Na kwa jinsi ninavyokufahamu hilo Umbo lako! hasa Mgongo na liwowo lazima Shoga yako alikuuza kwa bei hasa maana ni kijijini Guest hakuna na nyumba ya block ni ya Mwalimu Mkuu wa Primary
Zooooooooooooooote Jokes hebu njoo tufunguie mjadala, na sisi tujue hizo stareehe hata km ni za Chabo tu au Kinanda alichotoa shogayako km hamku 3some
Ndugu yangu mi nilikesha kwa kweli kabisaaa
Asubuhi mwanaume ndio alikua wa kwanza kuamka na kuja kunishangaa
na walijua kua nilikwazika
Nikalala asubuhi hadi kwenye sanne hivi
Jioni nilitaftiwa sehemu ya kulala
Nilikua kimya sikua na access ya mtandao ugenini pia safari kurudi Bush kwetu
kawaida sana, kama hujasoma chuo utashangaa.
Chuo gani hicho mkuu ambacho hili lilikuwa la kawaida?
Ndugu yangu mi nilikesha kwa kweli kabisaaa
Asubuhi mwanaume ndio alikua wa kwanza kuamka na kuja kunishangaa
na walijua kua nilikwazika
Nikalala asubuhi hadi kwenye sanne hivi
Jioni nilitaftiwa sehemu ya kulala
Nilikua kimya sikua na access ya mtandao ugenini pia safari kurudi Bush kwetu