Kitanda kimoja na rafiki na mpenzi wake, imekaaje?

Kitanda kimoja na rafiki na mpenzi wake, imekaaje?

Da Pretty

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
3,059
Reaction score
1,153
Kwanza niwatakie heri ya mwaka mpya ujao 2013 Muda huu nipo na laptop kuna jambo limenipa utata Rafiki yangu wa miaka mingi anaishi mkoa fulani kusini amenialika kwake na nimeingia leo. Nimefika na kupokelewa vizuri ila tangu chumba nilichokaribishwa mashaka yalinijaa kimejaa bidhaa za kiume(nguo, viatu, mafuta...) nikauliza vipi nikaambiwa nitulie. Badae nikagundua best anaishi na mpenzi wake, cha ajabu muda wa kulala ananiambia tutalala watatu chumba kimoja na kitanda kimoja yani mimi yeye na mpenzi wake. Hili limenikwaza sana naona ni kitu cha tofauti na mbaya zaidi yeye ndio kanikaribisha na tiketi ya kuja huku kanitumia yeye. Hii imekaaje? mi nimeshindwa kwenda kulala kwa mtindo huo.
 
Ushikwapo shikamana. Kama kakuamini nawe aminika. Ukifika mahali jifunze kabla ya kufundisha. Kwani tatizo nini iwapo mnakaa meza moja? Tatizo la vijana wa siku hizi ni kuishi kama vipofu. Kwani mkilala lazima mbashiane au kubakana?
Kwanza niwatakie heri ya mwaka mpya ujao 2013 Muda huu nipo na laptop kuna jambo limenipa utata Rafiki yangu wa miaka mingi anaishi mkoa fulani kusini amenialika kwake na nimeingia leo. Nimefika na kupokelewa vizuri ila tangu chumba nilichokaribishwa mashaka yalinijaa kimejaa bidhaa za kiume(nguo, viatu, mafuta...) nikauliza vipi nikaambiwa nitulie. Badae nikagundua best anaishi na mpenzi wake, cha ajabu muda wa kulala ananiambia tutalala watatu chumba kimoja na kitanda kimoja yani mimi yeye na mpenzi wake. Hili limenikwaza sana naona ni kitu cha tofauti na mbaya zaidi yeye ndio kanikaribisha na tiketi ya kuja huku kanitumia yeye. Hii imekaaje? mi nimeshindwa kwenda kulala kwa mtindo huo.
 
Mkuu hapo kwakuwa umekaribishwa na huna jinsi basi omba ulale sebuleni kama papo au chini kitandani iwe ni option ya mwisho.
 
Mhhhh! pole sana. Mtu akikupa mwaliko kama huo unakuwa na assumption kwamba ana nafasi ya kutosha ya kumkaribisha mgeni. Hakustahili kukualika katika mazingira hayo au ana lake jambo. Asije akaomba 3sum ili kumfurahisha mupenzi katika kuuaga 2012 na kuukaribisha 2013. Kama una muda mwingi wa kuwa hapo basi tafuta usafiri urudi kwako ili kuikimbia karaha ambayo hukuitegemea.
 
OMG threesome dear, go for it.
Is that you kwa avatar? yo so sexy.
:mwaaah:
 
Kwanza niwatakie heri ya mwaka mpya ujao 2013 Muda huu nipo na laptop kuna jambo limenipa utata Rafiki yangu wa miaka mingi anaishi mkoa fulani kusini amenialika kwake na nimeingia leo. Nimefika na kupokelewa vizuri ila tangu chumba nilichokaribishwa mashaka yalinijaa kimejaa bidhaa za kiume(nguo, viatu, mafuta...) nikauliza vipi nikaambiwa nitulie. Badae nikagundua best anaishi na mpenzi wake, cha ajabu muda wa kulala ananiambia tutalala watatu chumba kimoja na kitanda kimoja yani mimi yeye na mpenzi wake. Hili limenikwaza sana naona ni kitu cha tofauti na mbaya zaidi yeye ndio kanikaribisha na tiketi ya kuja huku kanitumia yeye. Hii imekaaje? mi nimeshindwa kwenda kulala kwa mtindo huo.

kama kunauwezekano na kwenda kulala kwingineko ni afadhari kuli fedheha kulazwa wawili mke mmoja
 
Kwanza niwatakie heri ya mwaka mpya ujao 2013 Muda huu nipo na laptop kuna jambo limenipa utata Rafiki yangu wa miaka mingi anaishi mkoa fulani kusini amenialika kwake na nimeingia leo. Nimefika na kupokelewa vizuri ila tangu chumba nilichokaribishwa mashaka yalinijaa kimejaa bidhaa za kiume(nguo, viatu, mafuta...) nikauliza vipi nikaambiwa nitulie. Badae nikagundua best anaishi na mpenzi wake, cha ajabu muda wa kulala ananiambia tutalala watatu chumba kimoja na kitanda kimoja yani mimi yeye na mpenzi wake. Hili limenikwaza sana naona ni kitu cha tofauti na mbaya zaidi yeye ndio kanikaribisha na tiketi ya kuja huku kanitumia yeye. Hii imekaaje? mi nimeshindwa kwenda kulala kwa mtindo huo.
Kaza roho lala vivyo hivyo kisha tujuze kama kulikuwa na chochote nyuma ya pazia
 
Da Pretty naona tayari uliamua kulegeza msimamo!! Pole sana mkuu!!
 
OMG threesome dear, go for it.
Is that you kwa avatar? yo so sexy.
:mwaaah:

Acha unafiki mkuu kule unazuga wewe mtakatifu kwa kupondea wengine raha zao huku unamshauri mwenzio afanye threesome? Kweli akumulikaye mchana........
 
ushasikiaga habari za threesome?there is coming
 
mmh! dunia ina mambo kweli.
skiliza sion shida kabisa mtu kukualika kwake akiwa na chumba kimoja na rafiki yake. kwanza swala la kulala si lazima lihitaji kufanya ngono ama nn lkn pia usiku unaweza ama wanaweza kutandika kirago chini wewe ukaachwa ulale kitandani. hvi kweli kwasababu anaish na rafki yake basi akose fursa ya kumkaribisha shoga yake just for few days??
 
Kwanza niwatakie heri ya mwaka mpya ujao 2013 Muda huu nipo na laptop kuna jambo limenipa utata Rafiki yangu wa miaka mingi anaishi mkoa fulani kusini amenialika kwake na nimeingia leo. Nimefika na kupokelewa vizuri ila tangu chumba nilichokaribishwa mashaka yalinijaa kimejaa bidhaa za kiume(nguo, viatu, mafuta...) nikauliza vipi nikaambiwa nitulie. Badae nikagundua best anaishi na mpenzi wake, cha ajabu muda wa kulala ananiambia tutalala watatu chumba kimoja na kitanda kimoja yani mimi yeye na mpenzi wake. Hili limenikwaza sana naona ni kitu cha tofauti na mbaya zaidi yeye ndio kanikaribisha na tiketi ya kuja huku kanitumia yeye. Hii imekaaje? mi nimeshindwa kwenda kulala kwa mtindo huo.

Huu ndio ujuha ninaoukataa kila siku.
Mwanamke mwenzio anakutumia tiketi uende qake nawe qa kiherehere unaqenda.
Unakutana na threesome unaqazika.
Qa taarifa yako BF wa rafikio alimpatia rafikio sharti la kuwa anataka adventure;​
Adventure ya threesome na mwanamke mwenye makalio m akubwa kama ya Da Pretty.​
All in all lazima ufurahie maisha na ujaribu kila kinachokijia machoni qako. Da Pretty kula mambo Bibie! Usijivunge umetunukiwa na shemejio
Umepewa Bure furahia maisha qa threesome.\
Utawasimulia nini wajukuu wako vikuto vya Ubinti!?

Achia vitu kula vitu. Kizuri kula na rafikio Bibie.

NI Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
Zungumza na rafiki mueleze tu kwa upendo jinsi ulivyofurahia kukukaribisha na unavyouthamini huo upendo wake,ila haujapendezwa na hiyo hali ya kulala Pamoja kwani si tabia nzuri na hujawahi hata siku moja kitu kama hicho na unajiskia aibu mbele ya shemejio,hivyo itabidi ulale gesti au ukatishe siku na urudi ulotoka.
 
duuh me ningeondoka ma dr unles niwe cna nauli kwa kweli sitakua na uhuru wa nafsi, ingekua wote washikaji hakuna mwenye mpenzi ningelala bt kwa hilo ntajishtukia sana ni kama ntakua nawabania ucku afu pia kuwaruhusu waendelee pia uvumilivu utanishinda so kesho mapema nigeaga
 
Back
Top Bottom