Mleta Uzi unafikiri hii Nchi kila taasisi imeoza ,Big NO.
Hii hutokea pale muhusika anapokuwa hana sifa za kupata NIDA, na kuamua kufanya ujanjaujanja ie mkimbizi , muhamiaji harumu,
Na hii issue haijanza Leo, ni tokea NIDA imeanzishwa , imeweza kuwabaini wadanganyifu kama wewe na ku cancel NIDA number zao.
Haha mkuu sababu ulizizitoa ni za uongo,
Usiogope Nenda ofisi za NIDA , watakuhudumia kwa ukarimu sana 😂