Mlisema hivi hivi 2003 wakati iraq inachapwa mara mstari mwekundu mara makombora matokeo yake yule mzee kajificha kwenye shimo nchini kwake.Hakuna taifa kwa sasa linaweza kupigana na USA.Jifariji tu
Kuandika Israel tu huwez, lazima habar zako unazisoma kwny gazeti la Cyprian MusibaM
Myahudi anakitu gani ambacho Irani au Urusi hana? Wayahudi wanasumbuka sana na Iran,wanaua wanasayansi wa Irani lakini Irani emesonga.Huwa mnawakuza sana wayahudi hali nao huiba teknolojia marekani na ulaya.Teknolojia kubwa zote zimegunduliwa ulaya na marekani llkisha islae hukopi.Islaeli wangekuwa na akili sana kuliko mataifa mengine kwa nini teknolojia ya 5G isianzishwe na wao huko Islaeli na badala yake inazinduliwa na wachina.Mnasifia sana Islaeli hali Hamna mnachotumia kinachozalishwa Islaeli.Islaeli huiba teknolojia kama mataifa mengine yavyofanya,hawana ambacho wengine hawana.Wanapsmbana na halo yao kama wanavyopambana wajerumani nk. Waislaeli wangekuwa na teknolojia za kutisha Hitler asingewaua kama kumbikumbi.
Natamani yale madude Bulava na Iskender yakapige White House pawe majivu pasibaki hata panyaHuo ndo ukweli mkuu.Urusi na China wanasubiri tu Marekani ajichanganye ili watu watest makombora yao ya kisasa yasije kulipuka bila kutumika.Iran mwenyewe anawashwa Marekani ajichanganye ili atest makombora yake ya Nyuklia.
Alisikika mnywa komoni wa pale Mtaa wa fisi Manzese
Hao ma ayatollahs, na mullars watapata wana chokitafuta, na kile hawajui ni ya kuwa wayahudi (israel) wako na lama zote za kutumika kuwashambulia dakika yeyote, kweli mkuu yetu ni macho tu hapaLeo nimeona Trump karudisha sanctions dhidi ya Iran. Na pia Saudi baada ya visima vyao vya mafuta kushambuliwa na Iran majuzi tu, wameamua kutengeneza press conference kabisa na ushahidi. Kwa wenye uelewa hapa tunajua kwamba Iran anatengenezwa justification ya military attack ili akivamiwa dunia isilalamike. Yetu macho.......
pls kuwa na uelewa hata kaa sio wingi vile, je nani anawapa hela na silaha hao houths, mkuu kuwa mjaja angalau kiasi tuKwa nini unasema visima vya Saudia vimeshambuliwa na Iran wakati Houthis wamekiri ni wao. Jaribu kufatilia source tofauti tofauti za habari. Main stream media wanapotosha sana kwa maslahi wanayojua wao
Ilikuwa ushaidi fake, kwani waliulizwa kama wanahukika kuwa kama kweli ni Iran anahusika wakashindwa jibuNimeona leo live Aljazeera na CNN......Saudi wameandaa press conference ya kama lisaa limoja wakionesha ushahidi kwamba Iran inahusika!
njoo nikuzawadie suruali mkuuDunia iko mbio sanaa
SwadaktaaaAlisikika mnywa komoni wa pale Mtaa wa fisi Manzese
U superpower wa Marekani umebaki kwenye makaratasi tu. Kama angekuwa mtu wa kupigana DT kipindi kile ki drone cha kilipotunguliwa hasingesema hawezi kuishambulia Iran kwa sababu angesababisha mauaji ya watu wengi.Nani kakudanganya, marekani ni super power tuombe tu Mungu wasiipige Iran maana amani na utulivu wa eneo hilo vitapotea
Kwaio super power ni nani saizi mkuu?au ni chato City Council?chini ya Ccm.U superpower wa Marekani umebaki kwenye makaratasi tu. Kama angekuwa mtu wa kupigana DT kipindi kile ki drone cha kilipotunguliwa hasingesema hawezi kuishambulia Iran kwa sababu angesababisha mauaji ya watu wengi.
Na Libya walisema hivi hivi jamaa akakutwa kajificha kwenye culvertMlisema hivi hivi 2003 wakati iraq inachapwa mara mstari mwekundu mara makombora matokeo yake yule mzee kajificha kwenye shimo nchini kwake.Hakuna taifa kwa sasa linaweza kupigana na USA.Jifariji tu
Akipigwa mtakuja kusema ooh USA wakorofi,endeleeni kuwapump Iran wajidai wako fit Kama jiwe,then Wale kipigo cha mbwa koko Kama Nagasaki,wajapani waliposanda.Iran anaogopwa.
Russia na China wame balance nguvu ya Marekani kijeshi na kiuchumiKwaio super power ni nani saizi mkuu?au ni chato City Council?chini ya Ccm.
Mkuu, jambo la MWISHO kabisa ambalo Trump anaweza kulifanya ni kuingia vitani na Iran.Leo nimeona Trump karudisha sanctions dhidi ya Iran. Na pia Saudi baada ya visima vyao vya mafuta kushambuliwa na Iran majuzi tu, wameamua kutengeneza press conference kabisa na ushahidi. Kwa wenye uelewa hapa tunajua kwamba Iran anatengenezwa justification ya military attack ili akivamiwa dunia isilalamike. Yetu macho.......
Itategemea maslahi ya china na urusi, wasije kutengeneza vita ya dunia au kuendelea kuvuruga utulivu eneo zima la mashariki ya katiishu ya iran wakubwa wakishapata uhakika ni yeye huyo mchina na Russia hutawaona wakimtetea ataachwa mkiwa then itabaki story, iran hawez kusimama na marekani, anachofanya marekani now ni kutafuta ushawishi na sababu ya kuivamia iran
Trump siyo mpenzi wa vita!