next stop is IRAN!Kwa nini unasema visima vya Saudia vimeshambuliwa na Iran wakati Houthis wamekiri ni wao. Jaribu kufatilia source tofauti tofauti za habari. Main stream media wanapotosha sana kwa maslahi wanayojua wao
Ndugu yangu Iran ni taifa lenye uwezo mkubwa sana na ndio maana huyo marekani ana sita kwa sababu anajua madhara ya kuingia vitani na Iran.Mlisema hivi hivi 2003 wakati iraq inachapwa mara mstari mwekundu mara makombora matokeo yake yule mzee kajificha kwenye shimo nchini kwake.Hakuna taifa kwa sasa linaweza kupigana na USA.Jifariji tu
USA is superpower country with all kind of lethal weapons under the sun, you can't make comparison with Iran!Ndugu yangu Iran ni taifa lenye uwezo mkubwa sana na ndio maana huyo marekani ana sita kwa sababu anajua madhara ya kuingia vitani na Iran.
Kwahiyo we we usijifanye una akili kuliko viongozi wa Marekani.
Ni mpenzi mtazamaji.Trump siyo mpenzi wa vita!
Dah alikosea sana kumfukuza Bolton sasa hivi ndio angemtumia vizuri
Leo nimeona Trump karudisha sanctions dhidi ya Iran. Na pia Saudi baada ya visima vyao vya mafuta kushambuliwa na Iran majuzi tu, wameamua kutengeneza press conference kabisa na ushahidi. Kwa wenye uelewa hapa tunajua kwamba Iran anatengenezwa justification ya military attack ili akivamiwa dunia isilalamike. Yetu macho.......
Wanataka kumchapa Iran, sijui nani ataamulia
Iran na Syria waliwindwa sana tangu enzi za Bush.Leo nimeona Trump karudisha sanctions dhidi ya Iran. Na pia Saudi baada ya visima vyao vya mafuta kushambuliwa na Iran majuzi tu, wameamua kutengeneza press conference kabisa na ushahidi. Kwa wenye uelewa hapa tunajua kwamba Iran anatengenezwa justification ya military attack ili akivamiwa dunia isilalamike. Yetu macho.......
Hahaha kupata vichekesho kama hivi bofya *150*10*JamiiForums #ishu ya iran wakubwa wakishapata uhakika ni yeye huyo mchina na Russia hutawaona wakimtetea ataachwa mkiwa then itabaki story, iran hawez kusimama na marekani, anachofanya marekani now ni kutafuta ushawishi na sababu ya kuivamia iran
Huo ndo ukweli mkuu.Urusi na China wanasubiri tu Marekani ajichanganye ili watu watest makombora yao ya kisasa yasije kulipuka bila kutumika.Iran mwenyewe anawashwa Marekani ajichanganye ili atest makombora yake ya Nyuklia.Wamguse waone..
Iran ana backup ya Urudi na China ambao ni bitter rivals wa marekani
Ushawishi gani anaoutafuta?Si mnasema ni super power sasa anasubiri ushawishi gani wakati anaweza kuishambulia hata pasipo kibali cha UN.Ukweli ni kwamba Marekani kashikwa pabaya dunia ya leo sio ya jana.Marekani katetemeshwa na North Korea tu kaufyata hadi kataka mazungumzo na bwana mdogo Kim Jong Un.ishu ya iran wakubwa wakishapata uhakika ni yeye huyo mchina na Russia hutawaona wakimtetea ataachwa mkiwa then itabaki story, iran hawez kusimama na marekani, anachofanya marekani now ni kutafuta ushawishi na sababu ya kuivamia iran
hao wanatafutuna suku nyingi soma ;**1984: West German intelligence sources claim that Iran’s production of a bomb “is entering its final stages.” US Senator Alan Cranston claims Iran is seven years away from making a weapon. 1992: Israeli parliamentarian Benjamin Netanyahu tells his colleagues that Iran is 3 to 5 years from being able to produce a nuclear weapon. — 1995: The New York Times reports that US and Israeli officials fear “Iran is much closer to producing nuclear weapons than previously thought” – less than five years away. Netanyahu claims the time frame is three to five years. 1996: Israeli Prime Minister Shimon Peres claims Iran will have nuclear weapons in four years. — 1998: Former Secretary of Defense Donald Rumsfeld claims Iran could build an ICBM capable of reaching the US within five years. — 1999: An Israeli military official claims that Iran will have a nuclear weapon within five years. — 2001: The Israeli Minister of Defense claims that Iran will be ready to launch a nuclear weapon in less than four years. — 2002: The CIA warns that the danger of nuclear weapons from Iran is higher than during the Cold War because its missile capability has grown more quickly than expected since 2000 – putting it on par with North Korea. — 2003: A high-ranking Israeli military officer tells the Knesset that Iran will have the bomb by 2005 — 17 months away. — 2006: A State Department official claims that Iran may be capable of building a nuclear weapon in 16 days. — 2008: An Israeli general tells the Cabinet that Iran is “half-way” to enriching enough uranium to build a nuclear weapon and will have a working weapon no later than the end of 2010. — 2009: Israeli Defense Minister Ehud Barak estimates that Iran is 6-18 months away from building an operative nuclear weapon. — 2010: Israeli decision-makers believe that Iran is at most 1-3 years away from being able to assemble a nuclear weapon. — 2011: IAEA report indicates that Iran could build a nuclear weapon within months. — 2012: Netanyahu draws a cartoon bomb on cardboard paper in a speech to the UN. Saying bomb is "months away" — 2013: Israeli intelligence officials claim that Iran could have the bomb by 2015 or 2016. — 2018: Netanyahu says Iran is 8 years away from Nuclear
Yaani unatamani kabisa vita itokeeDah alikosea sana kumfukuza Bolton sasa hivi ndio angemtumia vizuri
Hakuna vita hapo trust me... Mmarekani hayuko tayari sasa hivi kuingia vitani hasa na hizi nchi za kiarabu...Huo ndo ukweli mkuu.Urusi na China wanasubiri tu Marekani ajichanganye ili watu watest makombora yao ya kisasa yasije kulipuka bila kutumika.Iran mwenyewe anawashwa Marekani ajichanganye ili atest makombora yake ya Nyuklia.
Huwa nacheka tu kila niwasomapo hao die harders.Wamguse waone..
Iran ana backup ya Urudi na China ambao ni bitter rivals wa marekani
kweli watanzania huwa hatusomi umekisoma kilichoandikwa au umejibu kwa hisia? mi si myahudi mweusi wala mwarabu wa tanzania sina upande ila ukisoma vizuri utaona kuwa taarifa zinamuongelea Iran ni za kupikwa au hazina uhakika au zina malengo mahususi jaribu kusoma huku ukilinganisha mwaka na taarifa ndo uoneEndelea kusikiliza propaganda za hao mabeberu wakidhani dunia bado ipo gizani.